Hakuna kubembeleza, wanampa bila shida.Naamini ukienda TRA kitengo cha kutoa/kulipia leseni, kwa kutumia tin number yako wanaweza kukupa data za leseni yako.
Ila kwa vile hiyo sio kazi yao ya kawaida ni jambo la kubembeleza.
Sahihi ni Loss ReportLost report mkuu
Ni shule gani umesoma wewe hata masahihisho umekosa
Ndio mkuuNaombeni msaada kwa yoyote anaefahamu.
Nimepoteza leseni yangu ya udereva ila sina data zozote kwa maana nimesahau namba ya leseni. Nilienda police kutaka loss report ila wakadai namba ya leseni kitu nachokumbuka ni TIN namba tu.
Naweza kupata?
Mbona mbishi wewe watu wanakuelekeza nenda TRA watakupa namba ya leseni ukiipata si utaenda nayo police wakupe Loss Report mbona una kichwa kigumu?Police wanataka namba ya leseni ... ndo watoe loss report
ChangamkaNdonimeumwaa nakichwaa kingumuu mkuu nisamehee bure
Wajita ni wabishi!Mbona mbishi wewe watu wanakuelekeza nenda TRA watakupa namba ya leseni ukiipata si utaenda nayo police wakupe Loss Report mbona una kichwa kigumu?
Pata lost report sio lazima uende polisi siku hizi unaioata kwenye mtandao funguaNaombeni msaada kwa yoyote anaefahamu.
Nimepoteza leseni yangu ya udereva ila sina data zozote kwa maana nimesahau namba ya leseni. Nilienda police kutaka loss report ila wakadai namba ya leseni kitu nachokumbuka ni TIN namba tu.
Naweza kupata?