Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,568
- 93,236
Kwanza niweke wazi Mimi hiyo Instagram huwa natumia zaidi Kwa ajili ya kusoma magazeti Kwa Millard Ayo.
Ila baada ya Mayele kutrend na "majini" yake nimejaribu kupitiapitia account yake na nimeshangazwa na kitu kimoja.
Fiston Mayele NI Mcongoman na Kwa sasa ni mchezaji wa Pyramid ya Masri, lakini kilichonistaajabisha NI post au status zote za Mayele ni za Kiswahili na kifaransa lakini hakuna comments za Wacongo wala za Waarabu, NI Watanzania ndio zimejaa comment zao na shobo kama zote, status ya kifaransa comments za Kiswahili, shame.
Sasa kuna kitu hapa sielewi je ni Sisi Watanzania ndio hatujitambui na hatuna kazi za kufanya au Mayele ana account tofauti tofauti ambayo hii ninayoiona ni Maalum Kwa Tanzania Tu?
Lakini kama jibu ni hapana hiyo ndio official account ya Mayele basi nadiriki kusema Watanzania tujitafakari Sana, tuna zaidi ya tatizo tena hafadhali hata ya Mayele aliyetumia page yake kuandika anachojisikia kuandika.
Jobless imeharibu mifumo ya akili za Watanzania refer to GENTAMYCINE
Ila baada ya Mayele kutrend na "majini" yake nimejaribu kupitiapitia account yake na nimeshangazwa na kitu kimoja.
Fiston Mayele NI Mcongoman na Kwa sasa ni mchezaji wa Pyramid ya Masri, lakini kilichonistaajabisha NI post au status zote za Mayele ni za Kiswahili na kifaransa lakini hakuna comments za Wacongo wala za Waarabu, NI Watanzania ndio zimejaa comment zao na shobo kama zote, status ya kifaransa comments za Kiswahili, shame.
Sasa kuna kitu hapa sielewi je ni Sisi Watanzania ndio hatujitambui na hatuna kazi za kufanya au Mayele ana account tofauti tofauti ambayo hii ninayoiona ni Maalum Kwa Tanzania Tu?
Lakini kama jibu ni hapana hiyo ndio official account ya Mayele basi nadiriki kusema Watanzania tujitafakari Sana, tuna zaidi ya tatizo tena hafadhali hata ya Mayele aliyetumia page yake kuandika anachojisikia kuandika.
Jobless imeharibu mifumo ya akili za Watanzania refer to GENTAMYCINE