Nimepita Instagram account ya Fiston Mayele kuna kitu sikielewi naomba nielimishwe

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,568
93,236
Kwanza niweke wazi Mimi hiyo Instagram huwa natumia zaidi Kwa ajili ya kusoma magazeti Kwa Millard Ayo.

Ila baada ya Mayele kutrend na "majini" yake nimejaribu kupitiapitia account yake na nimeshangazwa na kitu kimoja.

Fiston Mayele NI Mcongoman na Kwa sasa ni mchezaji wa Pyramid ya Masri, lakini kilichonistaajabisha NI post au status zote za Mayele ni za Kiswahili na kifaransa lakini hakuna comments za Wacongo wala za Waarabu, NI Watanzania ndio zimejaa comment zao na shobo kama zote, status ya kifaransa comments za Kiswahili, shame.

Sasa kuna kitu hapa sielewi je ni Sisi Watanzania ndio hatujitambui na hatuna kazi za kufanya au Mayele ana account tofauti tofauti ambayo hii ninayoiona ni Maalum Kwa Tanzania Tu?

Lakini kama jibu ni hapana hiyo ndio official account ya Mayele basi nadiriki kusema Watanzania tujitafakari Sana, tuna zaidi ya tatizo tena hafadhali hata ya Mayele aliyetumia page yake kuandika anachojisikia kuandika.

Jobless imeharibu mifumo ya akili za Watanzania refer to GENTAMYCINE
 
WWa
Kwanza niweke wazi Mimi hiyo Instagram huwa natumia zaidi Kwa ajili ya kusoma magazeti Kwa Millard Ayo.

Ila baada ya Mayele kutrend na "majini" yake nimejaribu kupitiapitia account yake na nimeshangazwa na kitu kimoja.

Fiston Mayele NI Mcongoman na Kwa sasa ni mchezaji wa Pyramid ya Masri, lakini kilichonistaajabisha NI post au status zote za Mayele ni za Kiswahili na kifaransa lakini hakuna comments za Wacongo wala za Waarabu, NI Watanzania ndio zimejaa comment zao na shobo kama zote, status ya kifaransa comments za Kiswahili, shame.

Sasa kuna kitu hapa sielewi je ni Sisi Watanzania ndio hatujitambui na hatuna kazi za kufanya au Mayele ana account tofauti tofauti ambayo hii ninayoiona ni Maalum Kwa Tanzania Tu?

Lakini kama jibu ni hapana hiyo ndio official account ya Mayele basi nadiriki kusema Watanzania tujitafakari Sana, tuna zaidi ya tatizo tena hafadhali hata ya Mayele aliyetumia page yake kuandika anachojisikia kuandika.

Jobless imeharibu mifumo ya akili za Watanzania refer to GENTAMYCINE[/USER watanzania wengi ni vichaa. Ule utafiti wa kipindi kile ulisema kati ya watanzania 10,wanne ni vichaa sasa hivi imeongezeka mara 2.Haya yalianza kipindi cha vijana kusalimiana kwa VIPI KICHAA WANGU.
[/QUOTE]
 
Ni aibu kwake yeye anaeichezea pyramids ya misri lakini akili ipo Yanga.

Mchezaji akishahama timu sio vyema kujihusisha sana na timu aliyotoka( refer hata wachezaji wakubwa ulaya). Na hii inamuweka salama hata kwa mashabiki wa timu aliyohamia na maboss wake.

Sasa ndugu yetu mayele kweli tulimpenda ila kaenda, huko alipo tangu aende naona yeye ni kuifuatilia yanga ila hili la hivi karibuni ndio limeteka hisia za wengi.

Binafsi ni shabiki mkubwa sana wa mayele na hakuna atakachokifanya kisitishe hilo, nimekuwa nikimfuatilia muda naona akikoments kwenye pages za yanga, CAF CL, manara, ali kamwe na baadhi ya habari zinazohusu YANGA. Hili lilinishangaza nikabaki kujiuliza mbona haya hufanyika na wachezaji wengi lakini sio kwa kasi hii? Mbona kama mayele kazidi? Amezidi kwa nini.?

Atakataa ila mayele aliipenda sana yanga. Na sisi kama mashabiki tulimpenda ndio maana hadi sasa tupo nae kwenye post zake.
Mfano CR7 hata aitusi man utd bado ile love ya mashabiki wa man utd anayo hata aende kucheza tungi fc.
 
Sioni kosa la wabongo hapo, Mayele alipitia Yanga na alikuwa na mashabiki wake, Mayele anakijua kiswahili hivyo ni rahisi kwa wanaomfuatilia kuwasiliana nae kwa hiyo lugha, hasa wabongo.

Lakini kama angekuwa anatumia kiarabu kwa mawasiliano, basi naamini hiyo account yake ingejaa comments za kiarabu, ambapo hapo usingewaona wabongo kwa wingi wao waki comment kwenye hiyo account ya Mayelle.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Kwanza niweke wazi Mimi hiyo Instagram huwa natumia zaidi Kwa ajili ya kusoma magazeti Kwa Millard Ayo.

Ila baada ya Mayele kutrend na "majini" yake nimejaribu kupitiapitia account yake na nimeshangazwa na kitu kimoja.

Fiston Mayele NI Mcongoman na Kwa sasa ni mchezaji wa Pyramid ya Masri, lakini kilichonistaajabisha NI post au status zote za Mayele ni za Kiswahili na kifaransa lakini hakuna comments za Wacongo wala za Waarabu, NI Watanzania ndio zimejaa comment zao na shobo kama zote, status ya kifaransa comments za Kiswahili, shame.

Sasa kuna kitu hapa sielewi je ni Sisi Watanzania ndio hatujitambui na hatuna kazi za kufanya au Mayele ana account tofauti tofauti ambayo hii ninayoiona ni Maalum Kwa Tanzania Tu?

Lakini kama jibu ni hapana hiyo ndio official account ya Mayele basi nadiriki kusema Watanzania tujitafakari Sana, tuna zaidi ya tatizo tena hafadhali hata ya Mayele aliyetumia page yake kuandika anachojisikia kuandika.

Jobless imeharibu mifumo ya akili za Watanzania refer to GENTAMYCINE
Umeona mbali sana
 
Sioni kosa la wabongo hapo, Mayele alipitia Yanga na alikuwa na mashabiki wake, Mayele anakijua kiswahili hivyo ni rahisi kwa wanaomfuatilia kuwasiliana nae kwa hiyo lugha, hasa wabongo.

Lakini kama angekuwa anatumia kiarabu kwa mawasiliano, basi naamini hiyo account yake ingejaa comments za kiarabu, ambapo hapo usingewaona wabongo kwa wingi wao waki comment kwenye hiyo account ya Mayelle.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kwahiyo licha ya Mayele kucheza Congo national team Hana followers kabisa Congo au Kwa Wacongo wanaoishi abroad?

NI Kwa nini status za Mayele zimejaa comments za Mbagala na mwananyamala tu?

Akipost kifaransa sioni wanaocoment kifaransa shida iko wapi? bado najiliza Sana hili swali, hebu Wabongo tupunguze shobo.
 
Kwanza niweke wazi Mimi hiyo Instagram huwa natumia zaidi Kwa ajili ya kusoma magazeti Kwa Millard Ayo.

Ila baada ya Mayele kutrend na "majini" yake nimejaribu kupitiapitia account yake na nimeshangazwa na kitu kimoja.

Fiston Mayele NI Mcongoman na Kwa sasa ni mchezaji wa Pyramid ya Masri, lakini kilichonistaajabisha NI post au status zote za Mayele ni za Kiswahili na kifaransa lakini hakuna comments za Wacongo wala za Waarabu, NI Watanzania ndio zimejaa comment zao na shobo kama zote, status ya kifaransa comments za Kiswahili, shame.

Sasa kuna kitu hapa sielewi je ni Sisi Watanzania ndio hatujitambui na hatuna kazi za kufanya au Mayele ana account tofauti tofauti ambayo hii ninayoiona ni Maalum Kwa Tanzania Tu?

Lakini kama jibu ni hapana hiyo ndio official account ya Mayele basi nadiriki kusema Watanzania tujitafakari Sana, tuna zaidi ya tatizo tena hafadhali hata ya Mayele aliyetumia page yake kuandika anachojisikia kuandika.

Jobless imeharibu mifumo ya akili za Watanzania refer to GENTAMYCINE
Simama hapo hapo anakuja akukute.
 
Watanzania ni marimbukeni wa mitandao moja ya sababu zilizo changia Samatta kudondoka Aston villa ni matusi na comments za kijinga kwenye page yao kuna jinga moja linaitwa ujugu liliandika kwenye DM ya timu kwamba wahakikishe anapangwa na Greyish anamnyima pasi nikaona watu wanamsifia kama vile amefanya kitu cha maana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom