Nimepigwa na house girl

Kumbe wewe ni mmoja wapo wa wale mnaowapa mahouse girls chupi na hizo suruali zenu zenye mabaki ya kinyesi?
Huna mke?
Mwambie house girl anitafute nimpe pesa ya pedi kila mwezi kwa miaka kumi.
 
Na wewe si ulikuwa unampiga kwa House Girl Loan! Muachie tu mambo 50/50.
 
Kumbe wewe ni mmoja wapo wa wale mnaowapa mahouse girls chupi na hizo suruali zenu zenye mabaki ya kinyesi?
Huna mke?
Mwambie house girl anitafute nimpe pesa ya pedi kila mwezi kwa miaka kumi.
nitamwambia mkuu
 
Bado hujaoa?
 
Brother huna mke? Inakuwaje una mawasiliano ya karibu mpaka umempe nguo za kufua? Kawaida nguo za kufua unampa mkeo yeye ndiye anadelegate ufuaji kwa housegirl
 
huyo ukimpata kula mzigo kwa hasira akifurahi atakurudishia tuuuu
 
Unampa pole ya bure tu huyu mkuu wewe kweli unaweza kusahau laki saba kwenye mfuko wa suruali kwa usawa huu wa magu?

Hiyo hela ata ukilala na mke usiku unashituka kuitazama kama ipo kweli.
Hahaha inawezekana imemtokea kweli huwezi jua kikubwa tumpe pole mwana.
 
Daaahh hapo house girl kama namuona alivyo ifumania hiyo pesa,yaaani kama vile Dokii ktk tangazo LA BIKO alivyochomoka mbio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…