Nimepewe urithi wangu mapema, nimechanganyikiwa

Nimepewe urithi wangu mapema, nimechanganyikiwa

Vile mnavyokata mitaji sipati picha.

Mzee anapima akili yako,
 
Kwakua tayari kuna mtu anajiita mzee wa upako, we unatakiwa ujiite mzee wa kuwapaka alafu utenge 1M kila wikendi uwe unatafuta viwete wa mchongo wawili unawapa posho ya elf 10 unawaombea hadi wapone, hadi 1M iishe unakua umewaombea viwete wa mchongo 100 tayari Ni mtaji huo, unasubiri faida sasa huku ukijiita mzee wa kuwapaka

Kama zumaridi ana wenge kiasi kile lakin watu wamemuamini maana yake mchongo uko kule
Nimecheka kama mtoto mzee wa kuwapaka
Na akizipata nyingi aende kitambaa cheupe akawe mzee wa kuwapakata
 
Kwenye swala la madini unaweza ukatoboa kama ukiwa mnunuzi mzuri na makini kwenye dhahabu
Asikudanganye mtu mkuu! Nipo field hiyo zaidi ya miaka kumi swala la kununua dhahabu lilikua zamani sa ivi ataangukia pua
 
Njoo mor mkuu twende samaki sport tukalewe kwanza ndio tutapata hakili nini ufanyeee
 
Wakubwa Kwema?

Kama kichwa cha Habari kinavyoeleza hapo juu
Mimi ni kijana wa miaka 24, nimepewa Urithi wangu mapema kiasi cha milion 18 net.

Nimeambia hizo pesa nikizifanyia ujinga ndiyo basi tena nitakuwa sina kitu kwa mzee sasa nimewaza kununua hata kijumba cha milioni 14 nje ya Dar es Salaam hata cha vyumba viwili.

Halafu 4 inayobaki nijaribu kuitia kwenye biashara yoyote itakayoweza kuizalisha sasa wakuu napagawa kwa sababu sikujipanga nisaidie kwa lolote hiyo kwangu ndo karata ya mwisho
Mkuu,Kama ni Urithi na Unahofu Juu ya namna ya kuitumia Basi Nicheck PM kwa maelekezo zaidi.Ili kuna existing Business ambayo unaweza kuwa MBIA kwa Mfumo ambao ni salama.Biashara iko Based Kanda ya ZIWA.Ukiwa Tayari kuwekeza.Utapata Ajira kwenye kampuni na Pia Utakuwa ni mmiliki anayeweza Pata Dividend.Kama uko Interested nicheck PM.Ila Minimum Investment itatakiwa ni 10 Milion.
 
Wakubwa Kwema?

Kama kichwa cha Habari kinavyoeleza hapo juu
Mimi ni kijana wa miaka 24, nimepewa Urithi wangu mapema kiasi cha milion 18 net.

Nimeambia hizo pesa nikizifanyia ujinga ndiyo basi tena nitakuwa sina kitu kwa mzee sasa nimewaza kununua hata kijumba cha milioni 14 nje ya Dar es Salaam hata cha vyumba viwili.

Halafu 4 inayobaki nijaribu kuitia kwenye biashara yoyote itakayoweza kuizalisha sasa wakuu napagawa kwa sababu sikujipanga nisaidie kwa lolote hiyo kwangu ndo karata ya mwisho
Huo sio urithi kwani ujui maana ya urithi?alie kupa hiyo hela kakosea sana ilimpasa akifundishe kazi ya kufanyisha hiyo hela ona sasa umearibu hela umekiblia kununua banda wengi udhani wakiwa na nyumba shida zimeisha kumbe sio kweli
 
Huo sio urithi kwani ujui maana ya urithi?alie kupa hiyo hela kakosea sana ilimpasa akifundishe kazi ya kufanyisha hiyo hela ona sasa umearibu hela umekiblia kununua banda wengi udhani wakiwa na nyumba shida zimeisha kumbe sio kweli
Waache wamdanganye anunue nyumba alafu aje kuomba Ela kula humu,nyumba ni kuzika Ela
 
..tafuta mtoto mkali piga miti jasho likutoke...alafu ndio kaa tafakari weka plan ya matumizi ya hiyo hela...uwekezaji wa nguvu bila jasho ni kununua hati fungani...treasury bonds/bills BoT...nunua hata za mil 8 ..utapiga hela ndefu mno bila jasho baadae...inayobaki mil 10 weka benki alafu panga biashara ya maana...usijenge..hiyo hela ni ndogo mno kujengea...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom