Elimu yao imeleta impact gani kwa jamii ya kitanzania zaidi ya kuwa mafisadi tu ?
Wahaya sio mafisadi wamemkataa jiwe
Elimu yao imeleta impact gani kwa jamii ya kitanzania zaidi ya kuwa mafisadi tu ?
Kabla ya kuangalia ubaya wa wengine . Vipi ubaya wako umeuangalia Kwanza?
Haya kafungue kanisa huko bukoba kawabadilishe . Nchi kufungua kanisa inaruhusiwa kabisa.
Lakin husipende Sana kujudge tabia za watu focus na zako kwanza
Kama ndio vijijini pako hivi basi hawa wakina nshomile wanajitaid wanakimbizana na wale wa kule kina meku
Nimecheka sana hii commentماشاءالله.
Usisahau hakuna kizuri kisichokuwa na kasoro:-
Wahaya---- Ukabila, maajivuno na majisifu.
Wachaga--- ubinafsi na Wizi.
Wachagga wameingiaje hapa ?Wahaya akili kubwa na wachaga
Nchi hii ukiitoa kilimajaro na mbeya kiasi. Ni mikoa gani mingine at least mitatu ambayo vijiji vyake (vya wazawa) vinaweza at least kufikia standard ya nyumba zilizopo migombani Kagera.. Ningependa kujua tu
Siyo rahis, binafsi naaminj Kwa Wahaya, Wachaga na Wanyakyusa wamejitahid sana
Sinaga muda wa kuangalia ubaya wa watu Mimi.Ubaya wangu unatakiwa uuangalie wewe sio mimi kwani inawezekana mtu asizijue kasoro zake.
Wewe hujasikia:-- Nyani haoni kundule.
Kasoro zako ushazionesha Kwanza?Wewe ni Muhaya???-- badala ya kunishukuru kwa kuonyesha kasoro zenu wewe unanilaumu???-- Ubinadamu kazi kweli.
Muhaya ni Muha aliyeongezewa "ya".
jamaa mnafkiNimetembea Tz nzima but moja ya mikoa ambao nimeupenda Kwa mandhari na maendeleo yake ni kagera hasa vijiji vya Wahaya.
Asilimia kubwa ya hivi vijiji vya Bukoba vina majumba makubwa na ya kifahari, nyumba mbovu zimebaki chache sana na vijiji vingine zikiisha kabisa.
Hongereni sana watu wa Bukoba.
View attachment 1575169View attachment 1575170View attachment 1575171View attachment 1575172
View attachment 1575167View attachment 1575168
Unafiki wangu uko wapjamaa mnafki
Ndo maana nikasema uhayani. Huko sio uhayaniNimeenda vijiji vya Kayanga na Kyerwa sijaona hizo nyumba.
Duh, mimi sijui wahaya wanaishi wilaya zipi mkuu, hem' nifafanulie. Wilaya ya Kyerwa ni kabila gani!Ndo maana nikasema uhayani. Huko sio uhayani
Kuna wanyambo,wahima na wanyankole.Duh, mimi sijui wahaya wanaishi wilaya zipi mkuu, hem' nifafanulie. Wilaya ya Kyerwa ni kabila gani!
Nimetembea Tz nzima but moja ya mikoa ambao nimeupenda Kwa mandhari na maendeleo yake ni kagera hasa vijiji vya Wahaya.
Asilimia kubwa ya hivi vijiji vya Bukoba vina majumba makubwa na ya kifahari, nyumba mbovu zimebaki chache sana na vijiji vingine zikiisha kabisa.
Hongereni sana watu wa Bukoba.
View attachment 1575169View attachment 1575170View attachment 1575171View attachment 1575172
View attachment 1575167View attachment 1575168
Nilienda kikazi mwaka juzi, ni kweli vijiji vyao vizuri sanal