instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 11,383
- 14,195
Focus kwenye mazuri na ujifunzeماشاءالله.
Usisahau hakuna kizuri kisichokuwa na kasoro:-
Wahaya---- Ukabila, maajivuno na majisifu.
Wachaga--- ubinafsi na Wizi.
Focus kwenye mazuri na ujifunzeماشاءالله.
Usisahau hakuna kizuri kisichokuwa na kasoro:-
Wahaya---- Ukabila, maajivuno na majisifu.
Wachaga--- ubinafsi na Wizi.
Kama hakupunguzii wala kukuongezea kitu kwenye Maisha yako Acha wajisifu tuMuhaya asome asisome majisifu ni kwa kwenda mbele.
Ushamba unakusumbua hujatembea ukaona kumbe.
Focus kwenye mazuri na ujifunze
Siyo rahis, binafsi naaminj Kwa Wahaya, Wachaga na Wanyakyusa wamejitahid sanaNchi hii ukiitoa kilimajaro na mbeya kiasi. Ni mikoa gani mingine at least mitatu ambayo vijiji vyake (vya wazawa) vinaweza at least kufikia standard ya nyumba zilizopo migombani Kagera.. Ningependa kujua tu
Wivu kwaajili ya nini?Binafsi naona Una wivu Sana.
Kama hakupunguzii wala kukuongezea kitu kwenye Maisha yako Acha wajisifu tu
Kwani wewe ni nani alitekutusi ?Lakini sijamtusi yeyote katika Uzi huu
Hoja hupingwa Kwa hoja
Elimu yao imeleta impact gani kwa jamii ya kitanzania zaidi ya kuwa mafisadi tu ?Wahaya awajisifu wamesoma kweli.
Vijiji vya mfano vitajengwa Chato na watalii watatua na ndege kushangaa vijiji na burigiSerikali ijitahidi kuwekeza katika miundombinu ya barabara katika vijiji hivi, ikifanya hivyo nadhani vijiji hiv vitageuka kuwa vya mfano Tanzania
Hakuna tusi hapo.Lakini sijamtusi yeyote katika Uzi huu
Hoja hupingwa Kwa hoja
Siyo rahis, binafsi naaminj Kwa Wahaya, Wachaga na Wanyakyusa wamejitahid sana
Mimi Nina ID zaidi ya Mia moja humu kwa taarifa yako na password nimehifadhi kwenye diaryNa wewe ni wale wale, sawa na huyu mleta uzi.... member since 18/01/2020!
Senior member!
Mimi Nina ID zaidi ya Mia moja humu kwa taarifa yako na password nimehifadhi kwenye diary
Kakosea wapi mkuu? Tuwe wapole jamani!Ushamba unakusumbua hujatembea ukaona kumbe.
Kabla ya kuangalia ubaya wa wengine . Vipi ubaya wako umeuangalia Kwanza?Ndiyo na focus mazuri ili nijifunze lakini nitakuwa mchoyo wa fadhila kutoku focus kwa mabaya ili na wao wajifunze mema.
Haya kafungue kanisa huko bukoba kawabadilishe . Nchi kufungua kanisa inaruhusiwa kabisa.Kama umesoma theology kamwe huwezi kumuacha mwenzako awe na tabia ya majisifu, majisifu hujenga kiburi, kiburi hujenga dharau na hizo ni sifa za shetani, shetani ni kiumbe wa motoni.
Ni Mungu hasa anayepaswa kusifiwa, mtu anatakiwa asifiwe na sio ajisifu.
Naam hebu enjoy vizr bukoba vijijinView attachment 1575425View attachment 1575427View attachment 1575428View attachment 1575430View attachment 1575426View attachment 1575429View attachment 1575431View attachment 1575432Picha zingepigwa kwa ukaribu tupate kuona vizuri
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tulia wewee Acha porojo jamvini. Usibishane na anayekuzidi umri, elimu na pesa.Kwani nilivyosema wewe ni wale wale sawa na mleta uzi uliilewa namaamisha nini!? Wala sikuhitaji ujieleze kama ulivyojiweka wazi!