Nimetembea Tz nzima but moja ya mikoa ambao nimeupenda Kwa mandhari na maendeleo yake ni kagera hasa vijiji vya Wahaya.
Asilimia kubwa ya hivi vijiji vya Bukoba vina majumba makubwa na ya kifahari, nyumba mbovu zimebaki chache sana na vijiji vingine zikiisha kabisa.
Hongereni sana watu wa Bukoba.
Asilimia kubwa ya hivi vijiji vya Bukoba vina majumba makubwa na ya kifahari, nyumba mbovu zimebaki chache sana na vijiji vingine zikiisha kabisa.
Hongereni sana watu wa Bukoba.