Nimepatikana kwa kahaba

baba mausingizi

Senior Member
Jun 15, 2016
189
119
Helo hapa jukwaani, hope mpo poa

Niingie moja kwa moja katika ishu mtego wangu umeshika chui Kuna mdada mmoja anafanya kazi saloon ya kiume scrub Yaani ni kicheche

Sana na namfahamu coz nilikuwa nakaa nae mtaa mmoja zamani, miezi miwili iliyopita nilikutana nae sehemu tunabadilishana namba sijui nn kilitokea nikajikuta natoka nae na nilijua napigaa nasepa ila nikajikuta narudia rudia sasa mchumba wangu amerudi maana alisafiri nataka kumuacha yule mchepuko, aisee najikuta siwezi kashaingia moyoni na anaomba nimuoe amechoka kutumika bila faida na anataka kutulia na mimi nabaki njia panda na mchumba wangu tulipanga mwakani mapema tufunge ndoa.

Je yule mchepuko anaweza kuwa mke? Au nioe yule mchumba angu? Mchepuko kanikolea najuta tanga bhana
 
Hlw hapa jukwaani hope mpo poa niingie moja kwa moja katika ishu mtego wangu umeshika chui Kuna mdada mmoja anafanya kazi saloon ya kiume scrub Yaani ni kicheche Sana na namfahamu cz nilikuwa nakaa nae mtaa mmoja zamani, miezi miwili iliyopita nilikutana nae sehemu tunabadilishana namba sijui nn kilitokea nikajikuta natoka nae na nilijua napigaa nasepa ila nikajikuta narudia rudia sasa mchumba angu amerudi mana alisafiri nataka kumuacha yule mchepuko axee najikuta siwezi kashaingia moyoni na anaomba nimuoe amechoka kutumika bila faida na anataka kutulia na mm nabaki njia panda na mchumba angu tulipanga mwakani mapema tufunge ndoa. Je yule mchepuko anaweza kuwa mke? Au nioe yule mchumba angu? Mchepuko kanikolea najuta tanga bhana

Kama dini inaruhusu oa wote wawili
Halafu mbona upo macho baba mausingizi
 
Hlw hapa jukwaani hope mpo poa niingie moja kwa moja katika ishu mtego wangu umeshika chui Kuna mdada mmoja anafanya kazi saloon ya kiume scrub Yaani ni kicheche Sana na namfahamu cz nilikuwa nakaa nae mtaa mmoja zamani, miezi miwili iliyopita nilikutana nae sehemu tunabadilishana namba sijui nn kilitokea nikajikuta natoka nae na nilijua napigaa nasepa ila nikajikuta narudia rudia sasa mchumba angu amerudi mana alisafiri nataka kumuacha yule mchepuko axee najikuta siwezi kashaingia moyoni na anaomba nimuoe amechoka kutumika bila faida na anataka kutulia na mm nabaki njia panda na mchumba angu tulipanga mwakani mapema tufunge ndoa. Je yule mchepuko anaweza kuwa mke? Au nioe yule mchumba angu? Mchepuko kanikolea najuta tanga bhana
1477367027826.png
 
Eti umekolea kwa kicheche akili unazo wewe, kwa taarifa yako huyo kicheche anatafuta ndoa sasa wewe muowe uone mziki wake ndani
 
Hlw hapa jukwaani hope mpo poa niingie moja kwa moja katika ishu mtego wangu umeshika chui Kuna mdada mmoja anafanya kazi saloon ya kiume scrub Yaani ni kicheche Sana na namfahamu cz nilikuwa nakaa nae mtaa mmoja zamani, miezi miwili iliyopita nilikutana nae sehemu tunabadilishana namba sijui nn kilitokea nikajikuta natoka nae na nilijua napigaa nasepa ila nikajikuta narudia rudia sasa mchumba angu amerudi mana alisafiri nataka kumuacha yule mchepuko axee najikuta siwezi kashaingia moyoni na anaomba nimuoe amechoka kutumika bila faida na anataka kutulia na mm nabaki njia panda na mchumba angu tulipanga mwakani mapema tufunge ndoa. Je yule mchepuko anaweza kuwa mke? Au nioe yule mchumba angu? Mchepuko kanikolea najuta tanga bhana
chunguza tabia kwanza alf ndo uchukue uamuzi
 
Hlw hapa jukwaani hope mpo poa niingie moja kwa moja katika ishu mtego wangu umeshika chui Kuna mdada mmoja anafanya kazi saloon ya kiume scrub Yaani ni kicheche Sana na namfahamu cz nilikuwa nakaa nae mtaa mmoja zamani, miezi miwili iliyopita nilikutana nae sehemu tunabadilishana namba sijui nn kilitokea nikajikuta natoka nae na nilijua napigaa nasepa ila nikajikuta narudia rudia sasa mchumba angu amerudi mana alisafiri nataka kumuacha yule mchepuko axee najikuta siwezi kashaingia moyoni na anaomba nimuoe amechoka kutumika bila faida na anataka kutulia na mm nabaki njia panda na mchumba angu tulipanga mwakani mapema tufunge ndoa. Je yule mchepuko anaweza kuwa mke? Au nioe yule mchumba angu? Mchepuko kanikolea najuta tanga bhana
Acha kuleta visingizio vya ajabu hapa. Kikubwa wewe sio mwaminifu na sio mambo ya OOO... tanga imeshuka imepanda
 
Back
Top Bottom