Nashukuru kumfumbua macho mkuuKwan unataka kuoa sexmachine au wife material kaka
hujambo wewe?
Nimekuelewa mkuuHuwezi mchunguza mwanadamu ukamjua hata uishi nae miaka mia kumbuka binadamu anabadilika kutokana na uchumi, mazingira, nk
Asante mkuuChukua mchepuko wewe huyo mchumba kwanza hata humjui vizuri tena mzurulaji tu .
Mwenyewe umethibitisha kuwa kigegedo cha Salon kipo poa mbaya ,oa mchumba ukose mavitu ya ukweli utajikuta upo chumbani na mkeo lakini kwenye ubongo mchepuko kajaa na hupigi bao mpaka umfikirie changu wako!
Chukua changu huyo atakuridhisha zaidi
Asante mkuuOa mchepuko mkuu ili uendelee kufaudu mascrub...
sijambo shikamoo kaka ,, nakujahujambo wewe? em njoo pm mara moja tulonge
unataka kuninyima nini unanisalimia shikamoo?sijambo shikamoo kaka ,, nakuja
kautamuunataka kuninyima nini unanisalimia shikamoo?
ndio maana unajihami? hako huwa hakanyimwikautamu
Kaninyimwandio maana unajihami? hako huwa hakanyimwi
mpe tu mtu atashindwa mwenyewe wewe utakuwa huna lawama tenaKaninyimwa
Sasa wewe utaenda kumwambia unamchunguza....hyo si unafanya kimyakimya! Kwanza ushasema ni kicheche unajua haswaa...hope jibu unalo. Jamani wanaume hawa bwana! Yani mtu ushajua ni kicheche, hapohapo umeenda kujipigiza yani una- risk maisha yako na mchumba ako coz ya ujinga. Lini wanaume mtazinduka! Mnaua wanawake walotulia...sasa wewe jiloge muoe mbona utafurahi na roho yako! Utakuja kugundundua umetupa dhahabu na kuokota KOKOTO. Ohoooo. Nimewahi kushuhudia mtu akijuta anamwacha mchumba wake ...akazama kwa mchepuko...tena alikua kicheche km huyo wako......hadi Leo anajuta na hiyo ni life regret. Kutupa dhahabu na kuokota kokoto....Tatizo mtu akijua unamchunguza anajihami makucha yote anaficha
mahana umechoma utambi sasa