baba mausingizi
Senior Member
- Jun 15, 2016
- 189
- 120
- Thread starter
- #21
Nifanyaje nipo seriousDuh, pole sana unakoelekea utakosa mwana na maji ya moto.
Nifanyaje nipo seriousDuh, pole sana unakoelekea utakosa mwana na maji ya moto.
soma tenaKigrethaaa kinanipa tabu mzee
InshallahUmeshalishwa wewe, pole yako.
Sali Muumba wetu akuongoze njia njema ya kufata kati ya hao wawili.
Dah Sawasoma tena
Duh axeeRefusha muda wa uchumba km miaka 4 hivi utapata jibu sahihi
Kama nakuelewa hv mkuuEti umekolea kwa kicheche akili unazo wewe, kwa taarifa yako huyo kicheche anatafuta ndoa sasa wewe muowe uone mziki wake ndani
Yaani we unaacha mchumba kwa ajili ya mchepuko?! Inaelekea hujui unataka nini maishani!!Nifanyaje nipo serious
Mchepuko nae anaweza kuwa njia kuu akawa mkeYaani we unaacha mchumba kwa ajili ya mchepuko?! Inaelekea hujui unataka nini maishani!!
Mkuu yani na enjoy SanaChukua mchepuko wewe huyo mchumba kwanza hata humjui vizuri tena mzurulaji tu .
Mwenyewe umethibitisha kuwa kigegedo cha Salon kipo poa mbaya ,oa mchumba ukose mavitu ya ukweli utajikuta upo chumbani na mkeo lakini kwenye ubongo mchepuko kajaa na hupigi bao mpaka umfikirie changu wako!
Chukua changu huyo atakuridhisha zaidi
Mkuu huwa hadi nasinziaOa mchepuko mkuu ili uendelee kufaudu mascrub...
Ni sawa basi kama umeona hivyo oa tu huna haja ya kuomba ushauri!Mchepuko nae anaweza kuwa njia kuu akawa mke
shule ulisha maliza Baba mausingizKigrethaaa kinanipa tabu mzee
Huwezi mchunguza mwanadamu ukamjua hata uishi nae miaka mia kumbuka binadamu anabadilika kutokana na uchumi, mazingira, nkTatizo mtu akijua unamchunguza anajihami makucha yote anaficha