griffin2
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 695
- 838
inatia huruma sana kwa wanawake wanaoendelea kusubiri ndoa kwa muda mrefu, kiuhalisia wanaume wengi tunaoa wanawake tuliodumu nao chini ya miezi sita na kuwaacha wale tuliotoka nao nbali, ndo mana ndoa nyingi haziishi migogoro.
mkuu oa mchumba wako achana na kicheche huyo.
mkuu oa mchumba wako achana na kicheche huyo.