Nimepatikana kwa kahaba

Nimepatikana kwa kahaba

inatia huruma sana kwa wanawake wanaoendelea kusubiri ndoa kwa muda mrefu, kiuhalisia wanaume wengi tunaoa wanawake tuliodumu nao chini ya miezi sita na kuwaacha wale tuliotoka nao nbali, ndo mana ndoa nyingi haziishi migogoro.

mkuu oa mchumba wako achana na kicheche huyo.
 
Vimiezi tu vinakubadilisha mawazo hivyo na ulikuwa na mtu wako wa uhakika?
 
Ha ha ha ndo matatizo ya kuzibua chemba lazima utake tena na tena.... Endelea na mchumba wako kama hutaki kujuta, malaya ni malaya tu. Kunguru hafugiki labda uwe mchawi

Muache aje aishi kwa hofu na presha lukuki.

Bora malaya ambaye hujui kama ni malaya
 
Wanaume wa dar tatizo kula soseji na chips ufahamu wa kufikiri ni mdogo ushauri gani sasa unataka daa vijana walizaliwa nyakati za kikwete kazi Kweli kweli
 
Helo hapa jukwaani, hope mpo poa

Niingie moja kwa moja katika ishu mtego wangu umeshika chui Kuna mdada mmoja anafanya kazi saloon ya kiume scrub Yaani ni kicheche

Sana na namfahamu coz nilikuwa nakaa nae mtaa mmoja zamani, miezi miwili iliyopita nilikutana nae sehemu tunabadilishana namba sijui nn kilitokea nikajikuta natoka nae na nilijua napigaa nasepa ila nikajikuta narudia rudia sasa mchumba wangu amerudi maana alisafiri nataka kumuacha yule mchepuko, aisee najikuta siwezi kashaingia moyoni na anaomba nimuoe amechoka kutumika bila faida na anataka kutulia na mimi nabaki njia panda na mchumba wangu tulipanga mwakani mapema tufunge ndoa.

Je yule mchepuko anaweza kuwa mke? Au nioe yule mchumba angu? Mchepuko kanikolea najuta tanga bhana
Huna akili
 
Back
Top Bottom