pole sana mie mwenyewe nipo tanga nashinda hospital nauguza my dada ngamiani health center yupo very siriaz Mungu akijaaalia akipata nafuu kidogo kunyanyuka tunakuja nae dar huku ugenini vururuvururu
Habari zenu wapendwa, nasikitika kuwataarifu kuwa nimepata msiba wa mama yangu mkubwa. Amefariki jana jioni na tunatarajia kuzika leo saa kumi Muheza Tanga. Innalillah wainna illaih rajiuun
pole sana mie mwenyewe nipo tanga nashinda hospital nauguza my dada ngamiani health center yupo very siriaz Mungu akijaaalia akipata nafuu kidogo kunyanyuka tunakuja nae dar huku ugenini vururuvururu