Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 7,884
- 14,537
nimekukosaaaa ayaweeeeeeee i was about to pm u
Hivi kumbe inawezekana eeeh?
Mimi nasubiri thread itakayofuata Baada ya hii
nimekukosaaaa ayaweeeeeeee i was about to pm u
hahahaaa haya masai dada
sasa
shem huyu masai dada akileta choko choka mfungulie thread hapa! Tumseme !
Haaa kumbe inawezekana dah ha haaa safiiii
kabisa kama upo siriaz mungu anakupa mtu ambaye hayuponsiriaz and like wise maana hawa walioko jf ndo hao hao wapo mtaani
Mungu akipanga mtu hapangui !
Kama ipo ipo tu !
Mi nawatakia maisha marefu !
Yaliyo na mafanikio mema !
Amina = naiwe
Ushauri kwako masai dada; andika PM kwa Invisible ukimuomba afunge ile thread yako ya kutafuta mchumba.
honger san mkuu, tunashuru kwa hii feedback natumai mtafik mbali.
sahihisha hapo dada yangu otherwise..............Jamani nilishapostigi kitambo kidogo kwamba nahitaji mchumba nimeshampata namshukuru mungu na sio hivyo tu nahisi tutafika stage kubwa kilichofanya nipost ni kwamba mtu akikoment katika ile post ya zamani anakuwa kama anai update na watu bila kucheki reply wanakuja inbox kwa wingi sana kiasi kwamba nashindwa kuwajibu wote,nawashukuru kwa ushirikiano wenu but am happly in a wonderful relationship,I love my men an infact ninafurahia kuwa JF bila ugomvi hivyo sipendi uje inbox nikuambie nishapata alafu unaanza matusi si vyema,tubaki marafiki,asante.
sahihisha hapo dada yangu otherwise..............
sahihisha hapo dada yangu otherwise..............
We nawe unasoma hadi nukta!
nimekukumbuka sana. uko wapi?