Nimepata mpenzi

Nimepata mpenzi

Jamani nilishapostigi kitambo kidogo kwamba nahitaji mchumba nimeshampata namshukuru mungu na sio hivyo tu nahisi tutafika stage kubwa kilichofanya nipost ni kwamba mtu akikoment katika ile post ya zamani anakuwa kama anai update na watu bila kucheki reply wanakuja inbox kwa wingi sana kiasi kwamba nashindwa kuwajibu wote,nawashukuru kwa ushirikiano wenu but am happly in a wonderful relationship,I love my men an infact ninafurahia kuwa JF bila ugomvi hivyo sipendi uje inbox nikuambie nishapata alafu unaanza matusi si vyema,tubaki marafiki,asante.

hongera.
 
Jamani nilishapostigi kitambo kidogo kwamba nahitaji mchumba nimeshampata namshukuru mungu na sio hivyo tu nahisi tutafika stage kubwa kilichofanya nipost ni kwamba mtu akikoment katika ile post ya zamani anakuwa kama anai update na watu bila kucheki reply wanakuja inbox kwa wingi sana kiasi kwamba nashindwa kuwajibu wote,nawashukuru kwa ushirikiano wenu but am happly in a wonderful relationship,I love my men an infact ninafurahia kuwa JF bila ugomvi hivyo sipendi uje inbox nikuambie nishapata alafu unaanza matusi si vyema,tubaki marafiki,asante.

Haaa kumbe inawezekana dah ha haaa safiiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom