masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,360
- 19,174
- Thread starter
- #21
Muwe mnatoa mrejesho kama hivi ila Hongera sana
asante sana mkuu
Muwe mnatoa mrejesho kama hivi ila Hongera sana
swali je ulimpata hapa hapa love connect au nje ya hapa>???? jibu tafadhali
mungu akujalie familia bora.
hongera sana hivi ulisha rudisha mali za yule mme watu uliye kuwa unatembea naye
Najua moyoni unasema am very rightyou are very wrong
Najua moyoni unasema am very right
Jamani nilishapostigi kitambo kidogo kwamba nahitaji mchumba nimeshampata namshukuru mungu na sio hivyo tu nahisi tutafika stage kubwa kilichofanya nipost ni kwamba mtu akikoment katika ile post ya zamani anakuwa kama anai update na watu bila kucheki reply wanakuja inbox kwa wingi sana kiasi kwamba nashindwa kuwajibu wote,nawashukuru kwa ushirikiano wenu but am happly in a wonderful relationship,I love my men an infact ninafurahia kuwa JF bila ugomvi hivyo sipendi uje inbox nikuambie nishapata alafu unaanza matusi si vyema,tubaki marafiki,asante.
hongera.
Ayaweee....mimi nilikuwa nataka nikutokee. Kwa hiyo nimechelewa?
hukuwa na bundle nini mkuu?
Nenda kwenye hiyo thread yako. Juu mkono wa kulia utaona report abuse,Bonyeza kwenye report abuse kisha andika naomba muifunge hii thread toa na sababu.embu niambie nifanyaje mkuu
Ukisikia am in a wonderful relationship ujue tunda lishaliwa, that is what makes a relationship wonderful, kwa walio wengi.
Nenda kwenye hiyo thread yako. Juu mkono wa kulia utaona report abuse,Bonyeza kwenye report abuse kisha andika naomba muifunge hii thread toa na sababu.
Best wishes
Shake well before use ha ha ha ha
acha uchokozi
siioni tena i think mpenzinwangu kanisaidia
Jamani nilishapostigi kitambo kidogo kwamba nahitaji mchumba nimeshampata namshukuru mungu na sio hivyo tu nahisi tutafika stage kubwa kilichofanya nipost ni kwamba mtu akikoment katika ile post ya zamani anakuwa kama anai update na watu bila kucheki reply wanakuja inbox kwa wingi sana kiasi kwamba nashindwa kuwajibu wote,nawashukuru kwa ushirikiano wenu but am happly in a wonderful relationship,I love my men an infact ninafurahia kuwa JF bila ugomvi hivyo sipendi uje inbox nikuambie nishapata alafu unaanza matusi si vyema,tubaki marafiki,asante.