Kwenye Ndoto hukuonyeshwa nani atakuwa first lady kati ya Rose Kamili na Josephine Mushumbusi?
Dr Slaa hawezi kuja kuwa Rais wa Tanzania, na sasa hataweza tena asilimia alizozipata 2010 kwani umaarufu wa Dr Slaa wa 2010 sio umaarufu wa Dr Slaa wa sasa, anashuka vibaya sana.
Ukiwa uchaguzi wenye kila aina ya vituko, hatimaye Dr Slaa aliibuka mshindi kwa asilimia 70 ya kura zote.
Kwa ushirikiano wa karibu sana na vyama vya NCCR, CUF, CDM waliweza kushinda kwenye mikoa ya mwanza, tabora, kagera, shinyanga, mbeya, iringa, arusha, kilimanjaro, manyara, pemba, na kugawana kura vna wahasimu wao mikoa iliyobaki.
Vijana wengi walijitokeza kupiga kura na kuipeperusha bendera ya CDM chini ya mwamvuli wa ushirikiano na vyama tajwa.
Polisi na wanajeshi kama ilivyokawaida walitumika kutisha raia, mabomu mengi sana ya machozi yalipigwa ila wananchi walisema safiri hii haiwezekani.
Dr Slaa aapishwa uraisi 2015.
Kwenye Ndoto hukuonyeshwa nani atakuwa first lady kati ya Rose Kamili na Josephine Mushumbusi?
Kweli,hata mimi nina imani hiyo..............viva democracy..viva UKAWA!Ukiwa uchaguzi wenye kila aina ya vituko, hatimaye Dr Slaa aliibuka mshindi kwa asilimia 70 ya kura zote.
Kwa ushirikiano wa karibu sana na vyama vya NCCR, CUF, CDM waliweza kushinda kwenye mikoa ya mwanza, tabora, kagera, shinyanga, mbeya, iringa, arusha, kilimanjaro, manyara, pemba, na kugawana kura vna wahasimu wao mikoa iliyobaki.
Vijana wengi walijitokeza kupiga kura na kuipeperusha bendera ya CDM chini ya mwamvuli wa ushirikiano na vyama tajwa.
Polisi na wanajeshi kama ilivyokawaida walitumika kutisha raia, mabomu mengi sana ya machozi yalipigwa ila wananchi walisema safiri hii haiwezekani.
Dr Slaa aapishwa uraisi 2015.