peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,833
- 21,466
Huyu bwana ni msaani!
Anatumia Kodi na fedha za chama kupitia na gari Kila mkoa Kwa siku Moja!
Cha kunifurahisha Sasa , hapiti maeneo yenye matatizo mfano , maeneo ambayo hakuna maji, shule, barabara, umeme bali anapitia maeneo ya barabara kuu penye lami TU.
Cha kujiuliza huko kusiko na lami hakuna wanaccm?
Sasa makatibu wa ccm wa wilaya zote anakopita wanaanza kuomba michago ya kubeba watu kwenye malori kwenda kwenye barabara za lami kumsikiliza Makonda!
Ningesuauri Makonda aende vijijini amvako hataccm haipo ilishakufa, ili kufufuamatawi na mashina ya chama.
Anatumia Kodi na fedha za chama kupitia na gari Kila mkoa Kwa siku Moja!
Cha kunifurahisha Sasa , hapiti maeneo yenye matatizo mfano , maeneo ambayo hakuna maji, shule, barabara, umeme bali anapitia maeneo ya barabara kuu penye lami TU.
Cha kujiuliza huko kusiko na lami hakuna wanaccm?
Sasa makatibu wa ccm wa wilaya zote anakopita wanaanza kuomba michago ya kubeba watu kwenye malori kwenda kwenye barabara za lami kumsikiliza Makonda!
Ningesuauri Makonda aende vijijini amvako hataccm haipo ilishakufa, ili kufufuamatawi na mashina ya chama.