Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Paka upo jamani umeadimika kama ushuzi wa kuku!!!
Hiyo ni wanyama calling, you have been warned!
Yaani hapo Paka ni mtu, na Kuku ni ndege anayetoa ushuzi? Mi confused!
Paka upo jamani umeadimika kama ushuzi wa kuku!!!
Judith hebu kaangalie kule nimekugongea nini kwenye hii yuziful posti yako.
wajemeni mie nimempata ila kaniponyoka,mkimuona mwambieni namtafuta!:A S-confused1::disapointed::embarrassed1::becky::glasses-nerdy::embarrassed::rant::rant::rant:
Paka upo jamani umeadimika kama ushuzi wa kuku!!!
hahaha, ndoa za siku hizi kiboko! mnaongea dakika mbili, then accepted! hata muda wa kumuomba Mungu nadhani hukupata. but all the best mai dia
Kwani we judy ukipata mume anayetaka kukuoa unaongea nae muda gani.....more that a day or what
Na ni nini has mnachokiongea ......kama wote mnaelewa majukumu yenu na mmekomaa kabisa kuingia kwenye ndoa nini cha kusuburia...
sawa huwezi kufanya jambo bila maombi unless ur nt the beliver!(am a beliver) sooo what next nimsome wa nini at the time nitakaa nae na nitamfahamu vizuri.....by the way hayo mambo ya kusomana hayo ndipo watu wanapopata muda wa kuangalia interest zao na kusahau mapenzi y a mungu....
nimesema i will love this men ever as i know nimempata toka kwa mungu mwaminifu.....ful stop :shut-mouth:
i mean it dear,
Sidhan kama decision will take more than a day!
anaoneka kuwa responsible Men na kama nilivyosema all factors will reman constant na sitoangalia sura!
bali uhalisia wa maisha.........
Pole kwa kazi ngumu ya kukagua
nimesema i will love this men ever as i know nimempata toka kwa mungu mwaminifu.....ful stop :shut-mouth:
Ni kipaji kanipa Mungu...sina jinsi. Nikurithishe?
Mi nina kipaji cha kukagua makalio kwakweli
Mi siamini.Tuambie basi ni nani huyo uliyempata...
i mean it dear,
Sidhan kama decision will take more than a day!
anaoneka kuwa responsible Men na kama nilivyosema all factors will reman constant na sitoangalia sura!
bali uhalisia wa maisha.........
Kwani we judy ukipata mume anayetaka kukuoa unaongea nae muda gani.....more that a day or what
Na ni nini has mnachokiongea ......kama wote mnaelewa majukumu yenu na mmekomaa kabisa kuingia kwenye ndoa nini cha kusuburia...
sawa huwezi kufanya jambo bila maombi unless ur nt the beliver!(am a beliver) sooo what next nimsome wa nini at the time nitakaa nae na nitamfahamu vizuri.....by the way hayo mambo ya kusomana hayo ndipo watu wanapopata muda wa kuangalia interest zao na kusahau mapenzi y a mungu....
nimesema i will love this men ever as i know nimempata toka kwa mungu mwaminifu.....ful stop :shut-mouth:
Achana nao
Wengine ni wivu tu kuona umevuna katika muda mfupi tu!! hawaamini...
Lakini ukiwapa kadi ya mwaliko watakubali.....
Just love that MEN!!!!
Ama kweli hawakumuamini mpaka alipowaonyesha mikono yake kuwa ni yeye amafufuka kwe.......................
Jamani ths is nt a business, ok tel me now wewe kama hujaoa au hujaolewa utajua ni wapi waweza kutana na mwenza wako???
belive me nimempenda kijana he sent to me his picture i send to him my picture simple like that we agreed echa other,
wapo waliosoma miaka sita na wakaishia kuachana tu .......god is good bana
so umependa sauti ya simu na picha lakini sio mtu. i wonder utapendaje mtu amabaye hujamuona, na sasa hapo utakuwa unapenda nini hasa? una uhakika gani kwamba hiyo pic ni yake? labda nitahitaji kurudi darasani kujifunza upya masuala ya mapenzi.