henry mathayo
Member
- Jul 18, 2017
- 16
- 6
Jamani wapendwa, mimi ni mwanafunzi nimemaliza kidato cha sita mwaka huu na kupata division three ya 14. Nahitaji msaada wa kuendelea na elimu sababu naishi kwenye maisha magumu. Walau nipate mtu wa kuni-support kusoma diploma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app