#COVID19 Nimepata chanjo ya COVID-19

Nimesoma paragraph yako ya kwanza tu.. Nimejua wewe ni layman kwenye eneo hilo..
Sijaendelea na story yako.

Unajua kwanini watu wanapata kifua kikuu wakati walishachomwa chanjo??

Au labda, unajua faida kuu ya chanjo?
Chanjo maana yake ni kinga ya ugonjwa fulani..
Labda wewe ambaye ni professional unajuwa chanjo ni nn?

Punguza kushabikia upuuzi.

Ulishawahi kujiuliza kwann kuwe na certificate baada ya kuchanjwa?

Mbona polio,Tb ,,surua,ndui,nk hakuna certificate?

Labda nikukumbushe ,,kipindi kile gonjwa limeshamiri duniani kote.
Na kila sehemu watu wamefungiwa.(lock down)
Na hata kama utasafiri still ni lazima uwekwe karanteen siku 14 hadi 21 ktk inchi husika unapofika.

Hapo wazungu wakawa wamechoshwa na hiyo lock down pamoja na kuwekwa karanteen siku hizo.
Walichoshwa na maisha kusimama.

Ndipo wakaibua suala la vaccination certificate ili wawe huru kuzunguka popote duniani pasi na kuwekwa karanteen..

Chanjo kwa sasa ni useless.

Sasa kumbe chanjo haisaidii kukukinga na maambukizi ,,
ilikuwa kuna faida gani kuaminisha na kulazimisha dunia kwamba ukichanja upo salama kutembea popote ,?

Usikurupuke mkuu,,,
hao wazungu wameshatambuwa kwamba huo ugonjwa sisi wa Africa sio tishio..
Kwanini walazimishe chanjo?

Wanachokifanya ni kuua cells zetu za kinga mwilini ili ugonjwa uje ututafune bila kizuizi.


Huko shelisheli waliochoma chanjo kinachowapata sasa,,,salamu unazo?.

India napo hujasikia?

Marekani napo hao wenye chanjo kinachowapata sasa , TV pia huangalii.

Na zile inchi za ulaya na duniani kote waliorudisha dozi za vaccination na kusema si salama,, pia hukusoma magazeti?

Mambo ya side effect after vaccination hukusikia?
Au Bandle bado zipo juu mkuu?
 
Kwema wadau,

Kwa hiari yangu, bila kushurutishwa au kupata ushawishi wowote kutoka kwa mtu, nimechukua chanjo ya Covid-19.

Kuna aina nyingi za chanjo, ila mimi nimechukua Johnson & Johnson (sina uhakika na spellings)

Kwanini Johnson & Johnson, ni kwasababu mimi ni muoga wa sindano sana sana, ivyo ukichukua izo haina nyingine za chanjo lazima uchomwe mara 2 kumaliza dozi. Unachomwa alafu unasubri wiki 2 or 3 ukachomwe tena kumaliza dozi.

Johson & Johson unachomwa mara moja tu umemaliza, ila efficient yake n 66% wakati nyingine ni mpaka 90%.

Lengo kuu la mimi kupata hii chanjo, kwanza ni kupata kile ki-card ili niwe huru kusafiri, tunapoelekea vitahitajika ukiwa una cross boundaries.
IMG-20210519-WA0080.jpg
 
Kwema wadau,

Kwa hiari yangu, bila kushurutishwa au kupata ushawishi wowote kutoka kwa mtu, nimechukua chanjo ya Covid-19.

Kuna aina nyingi za chanjo, ila mimi nimechukua Johnson & Johnson (sina uhakika na spellings)

Kwanini Johnson & Johnson, ni kwasababu mimi ni muoga wa sindano sana sana, ivyo ukichukua izo haina nyingine za chanjo lazima uchomwe mara 2 kumaliza dozi. Unachomwa alafu unasubri wiki 2 or 3 ukachomwe tena kumaliza dozi.

Johson & Johson unachomwa mara moja tu umemaliza, ila efficient yake n 66% wakati nyingine ni mpaka 90%.

Lengo kuu la mimi kupata hii chanjo, kwanza ni kupata kile ki-card ili niwe huru kusafiri, tunapoelekea vitahitajika ukiwa una cross boundaries.
mkuu damu yako haijaganda hadi saa hii?
 
Akili za kimaskini hizi..haya maisha unaweza kukaa bila kusafiri? Unadhani wenzio wanakalisha tu makalio nchini , watu wana majukumu ambayo yanawalazimu kusafiri hata nje ya nchi.
Mkuu akili zako unaamini wote wanaosafiri ni matajiri?

Masikini ni yule anayeweka maisha yake rehani sababu ya kusafiri.
Mimi ninayeongea haya unajuwa nipo wapi?
Nipo radhi niuze mahindi ya kuchoma bongo kuliko kufanywa nguruwe wa majaribio.

Wewe unajuwa kusafiri kuliko mm?
Wacha upuuzi..

Kwanini iwe lazima uchanje ndy kusafiri,,
Na bado utapima tena corona baada ya kuchanja
Sasa nini maana yake?
 
Ni kwa muda. Kila baada ya miezi kadhaa unadungwa tena.

Kwahiyo itakuwa ni biashara ya kudungwa na kulipia.

Dunga lipia, dunga lipia! Kila baada ya miezi mitatu unadunga na kulipia!

Lichanjo feki la kibiashara ambalo halina faida yoyote mwilini zaidi ya kuharibu DNA na kuwafanya watu kuwa mandondocha.

Unafikiri wanatengeneza faidi kiasi gani baada ya miaka mitano kwa mfano?
Na kila ukitaka kusafiri unapima tena corona.
Hata baada ya chanjo.
 
Kwema wadau,

Kwa hiari yangu, bila kushurutishwa au kupata ushawishi wowote kutoka kwa mtu, nimechukua chanjo ya Covid-19.

Kuna aina nyingi za chanjo, ila mimi nimechukua Johnson & Johnson (sina uhakika na spellings)

Kwanini Johnson & Johnson, ni kwasababu mimi ni muoga wa sindano sana sana, ivyo ukichukua izo haina nyingine za chanjo lazima uchomwe mara 2 kumaliza dozi. Unachomwa alafu unasubri wiki 2 or 3 ukachomwe tena kumaliza dozi.

Johson & Johson unachomwa mara moja tu umemaliza, ila efficient yake n 66% wakati nyingine ni mpaka 90%.

Lengo kuu la mimi kupata hii chanjo, kwanza ni kupata kile ki-card ili niwe huru kusafiri, tunapoelekea vitahitajika ukiwa una cross boundaries.
Hiv ukichanjwa huwezi ambukizwa au kuambukiza? maana yake huwezi hitaji tena barakoa wala social distance?
 
Hapa nilichoambulia ni kuwa umechanjwa kwasababu ya ugumu wa maisha tu nasio kwajili ya kinga dhidi ya maradhi. Kumbe usingekuwa na uhitaji wa kusafiri usingedungwa.

Sasa lengo lako hapa ni lipi, yani umekuja kutuambia kuwa wewe ni msafiri au umekuja kutuambia chanjo zinafaida zipi au umekuja kutulilia kuwa isingekuwa kusafiri usingechanjwa,
 
Chanjo maana yake ni kinga ya ugonjwa fulani..
Labda wewe ambaye ni professional unajuwa chanjo ni nn?

Punguza kushabikia upuuzi.

Ulishawahi kujiuliza kwann kuwe na certificate baada ya kuchanjwa?

Mbona polio,Tb ,,surua,ndui,nk hakuna certificate?

Labda nikukumbushe ,,kipindi kile gonjwa limeshamiri duniani kote.
Na kila sehemu watu wamefungiwa.(lock down)
Na hata kama utasafiri still ni lazima uwekwe karanteen siku 14 hadi 21 ktk inchi husika unapofika.

Hapo wazungu wakawa wamechoshwa na hiyo lock down pamoja na kuwekwa karanteen siku hizo.
Walichoshwa na maisha kusimama.

Ndipo wakaibua suala la vaccination certificate ili wawe huru kuzunguka popote duniani pasi na kuwekwa karanteen..

Chanjo kwa sasa ni useless.

Sasa kumbe chanjo haisaidii kukukinga na maambukizi ,,
ilikuwa kuna faida gani kuaminisha na kulazimisha dunia kwamba ukichanja upo salama kutembea popote ,?

Usikurupuke mkuu,,,
hao wazungu wameshatambuwa kwamba huo ugonjwa sisi wa Africa sio tishio..
Kwanini walazimishe chanjo?

Wanachokifanya ni kuua cells zetu za kinga mwilini ili ugonjwa uje ututafune bila kizuizi.


Huko shelisheli waliochoma chanjo kinachowapata sasa,,,salamu unazo?.

India napo hujasikia?

Marekani napo hao wenye chanjo kinachowapata sasa , TV pia huangalii.

Na zile inchi za ulaya na duniani kote waliorudisha dozi za vaccination na kusema si salama,, pia hukusoma magazeti?

Mambo ya side effect after vaccination hukusikia?
Au Bandle bado zipo juu mkuu?
Clueless.
Hujajibu maswali yangu mawili ya msingi.. Acha story nyingi
1. Kwanini watu huwa wanaugua Kifua Kikuu na magonjwa mengine ili hali walipata chanjo?
2. Unafahamu malengo makuu ya chanjo?

Hoja zako zisizo na mashiko
1. Shelisheli
Unajua Shelisheli ina population ya watu lski moja? (100,000)?
Unajua figure zao za hayo maambukizi ya COVID-19?
Unajua kati ya waliochomwa chanjo na wakapata maambukizi ya virusi vya corona hakuna hata mmoja aliyepata ugonjwa wa korona? Unajua kuwa hakuna hata mmoja aliyekufa kwa wale waliopata chanjo? Linganisha na wale ambao hawakupata chanjo.

Unajua namna chanjo zinavyofanya kazi?
Unajua kuwa binadamu tuliochomwa chanjo za kifua kikuu huwa tunapata infection ambayo hai turn kuwa disease?

Mkuu, usilazimishe kuwa expert kqenye eneo ambalo hauna utaalam napo..

Ungeweka hoja zako kitaaluma tungezungumza.. Siyo kwa hoja zako za kuruka ruka..

Till then, over!!
 
Mkuu chanjwa tu ili watoto wapate chochote kitu maana hata ukikataa mbeleni huko hutaweza kupata huduma yoyote bila chanjo..na itakulazimu tu kuchanjwa yaani.. SHETANI YUPO KAZINI...
Mi Bora ni chanjwe na Chanjo ya Mmakonde usoni kuliko Chanjo ya Corona ambayo straight inakwenda kwa damu!!
 
Akili za kimaskini hizi..haya maisha unaweza kukaa bila kusafiri? Unadhani wenzio wanakalisha tu makalio nchini , watu wana majukumu ambayo yanawalazimu kusafiri hata nje ya nchi.
Zamani nilijua kusafiri nje ya nchi ni ufahari kumbe majukumu

#gogo gang
#sukuma gang
#chadema4revolution
 
Zamani nilijua kusafiri nje ya nchi ni ufahari kumbe majukumu

#gogo gang
#sukuma gang
#chadema4revolution
Tena wengine wanalipiwa hadi pesa ya kwenda chooni .
Halafu anakuja kujitutumua kwamba yeye bila kusafiri maisha hayaendi..

Hata bei ya ticket hajuwi.
 
Kwema wadau,

Kwa hiari yangu, bila kushurutishwa au kupata ushawishi wowote kutoka kwa mtu, nimechukua chanjo ya Covid-19.

Kuna aina nyingi za chanjo, ila mimi nimechukua Johnson & Johnson (sina uhakika na spellings)

Kwanini Johnson & Johnson, ni kwasababu mimi ni muoga wa sindano sana sana, ivyo ukichukua izo haina nyingine za chanjo lazima uchomwe mara 2 kumaliza dozi. Unachomwa alafu unasubri wiki 2 or 3 ukachomwe tena kumaliza dozi.

Johson & Johson unachomwa mara moja tu umemaliza, ila efficient yake n 66% wakati nyingine ni mpaka 90%.

Lengo kuu la mimi kupata hii chanjo, kwanza ni kupata kile ki-card ili niwe huru kusafiri, tunapoelekea vitahitajika ukiwa una cross boundaries.
Kwa uandishi wako tu, inatosha kukwambia kwamba wewe ni burungutu la titiki huko kichwani na huelewi hata ulichokipata.
Haina
Efficient
Haya rudi shule kisha uje uandike vizuri wewe.
 
Back
Top Bottom