Nimepata ajali jana maeneo ya Kawe

Nimepata ajali jana maeneo ya Kawe

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,488
Reaction score
65,832
Ndugu za mwamko,

Kwa upande wangu ni mbaya nimepata ajali jana wakati natokea Kidimbwi wakati narudi home.

Ilikuwa hivi, nimetoka pale naelekea kwenye parking; wakati natembea nikaona gari inakuja nyuma inayumba yumba na kwa mwendo kasi, nikawa najaribu kuikwepa ndipo iliponizoa na kunirusha huko.

Sijaumia sana lakini, naendelea vizuri kidogo.
 
Ndugu za maamko

Kwa upande wangu ni mbaya nimepata ajari jana wakati natokea kidimbwi wakati naludi home

Hilikuwa hivi nimetoka pale naelekea kwenye parking wakati natambea nikaona gari inakuja nyuma inayumba yumba na kwa mwendo kasi nikawa najaribu kuikwepa ndipo ilipo nizoa na kunilusha uko

Sijaumia sana hila naendelea vizuri kidogo
Dereva alikuwa mlevi au?
Ulienda hospital au la?
Walisimama au walikimbia?
 
Dereva alikuwa mlevi au?
Ulienda hospital au la?
Walisimama au walikimbia?

Dereva alikuwa mlevi akawa amekimbia baada ya muda nilimuona boda boda ambaye alikuwa anamfukuza akanipeleka sehemu ambako gari lilonigonga limekwama mbele alipata ajali tena.

Kufika pale nikakutana na polisi wanapima nikatoa maelezo yangu ila cha ajabu yule dereva alitoroshwa pale na boda ambae amenionesha.
 
Ndugu za maamko

Kwa upande wangu ni mbaya nimepata ajari jana wakati natokea kidimbwi wakati naludi home

Hilikuwa hivi nimetoka pale naelekea kwenye parking wakati natambea nikaona gari inakuja nyuma inayumba yumba na kwa mwendo kasi nikawa najaribu kuikwepa ndipo ilipo nizoa na kunilusha uko

Sijaumia sana hila naendelea vizuri kidogo
Picha
 
Dereva alikuwa mrevi akawa amekimbia baada ya muda nilimuona boda boda ambaye alikuwa anamfukuza akanipeleka sehemu ambako gar lilo nigonga limekwama mbele alipata ajari tena kufika pale nikakutan na polisi wanapima nikatoa maelezo yangu hila cha ajabu yule dereva alitoroshwa pale na boda ambae amenionesha
Kah🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom