Haya bana,vp soko limekaaje mkuu?Maana kwa yule wa Rombo sh.100/=Loliondo 500/= yule wa Chahua Chalinze_pwan sh 270 yule Bibi wa Tabora nae plus dogo wa mbeya bure anyway angalia vizuri hapo kwenye bei mkuu. Angalizo .Naamini hautakosa vichwa ,ila tafadharini msije ku2maliza badala ya ku2ponya.Wish u al the best.anda::Wakuu wenzangu kwa heshima na taadhima na mie napenda kuwaambia nimeoyeshwa rasmi...nitaaanza kutoa kikombe kwa Tsh 250/= taslimu pale jangwani effective from jumatatu.
Wakuu wenzangu kwa heshima na taadhima na mie napenda kuwaambia nimeoyeshwa rasmi...nitaaanza kutoa kikombe kwa Tsh 250/= taslimu pale jangwani effective from jumatatu.
hahaaaaaa CCM wanafurahia sana hali ya kuoteshwa maana kubanwa kwao kumepungua kabisa watu wamesahau siasa na joto la siasa limepungua kumbe tukiwa bize mambo mengine tunasahau
hapana mkuu nimeambiwa naweza kupunguza kutokana na maelezo nitakayopewa.....karibuni wapendwaHaya bana,vp soko limekaaje mkuu?Maana kwa yule wa Rombo sh.100/=Loliondo 500/= yule wa Chahua Chalinze_pwan sh 270 yule Bibi wa Tabora nae plus dogo wa mbeya bure anyway angalia vizuri hapo kwenye bei mkuu. Angalizo .Naamini hautakosa vichwa ,ila tafadharini msije ku2maliza badala ya ku2ponya.Wish u al the best.anda::
Wakuu wenzangu kwa heshima na taadhima na mie napenda kuwaambia nimeoyeshwa rasmi...nitaaanza kutoa kikombe kwa Tsh 250/= taslimu pale jangwani effective from jumatatu.
sina fixed price ndoto yangu sikuambiwa bei iwe hiyo tu....la hasha itashuka naweza kuifanya hata 20 inategemea na wagonjwa wangapi nitapata....karibuniGharama yake fanya jiti tu Yo Yo ili Jangwani kufurike!!..usije ukawa umeota lakini)
Mkuu we unatakiwa utoke kivingine unajua niaje?ingia mikataba na wadau wanaodeal na watengenezaji wa soda,maji hata juice ili ichanganywe humo na kila kwenye lt moja unadaka Tsh 50/= yako zidisha mara idadi mara muda jamaangu utapiga hela hadi kichwa ishike moto.sina fixed price ndoto yangu sikuambiwa bei iwe hiyo tu....la hasha itashuka naweza kuifanya hata 20 inategemea na wagonjwa wangapi nitapata....karibuni