Nimeoteshwa

Nimeoteshwa

Wasikilizie 2015 watasema sera nzuri za afya ambazo zipo katika llani ya uchaguzi zimewezesha manabii mbali mbali kuwezeshwa na kutibu wagonjwa kwa gharama nafuu ya jelo bila kutozwa kodi.

Fidel
Hujaacha utundu tu maana 2012 ni kesho kutwa tu au mipango imebadilika?
Anyway..asante kunichekesha!
 
Mi naomba usaidizi mkuu km wale wasaidizi wa babu...utanipa 20% ya kila kikombe mkuu
 
Kesho nitakuwa viwanja vya jangwani baada ya swala ya ijuma.....
 
hamna noma mchungaji tutakuja tu si unajua biashara matangazo?
 
Fidel inakubidi uandae nyamachoma pale kupunguza njaa wagonjwa wasidondoke pale jangwani
 
Back
Top Bottom