Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 2,144
- 3,459
Dr dogoli kinyamkela ☠️ 💀 pamoja na kwamba tunajihusisha na asili lakini pia, tunamwamini Mungu wa Mbinguni na kuitumikia ( Asili )
« Nikiwa nimelala nimepelekwa mpaka alipo Polepole, Polepole yupo jeshini anadhibitiwa na jeshi. Yupo humo kama Mfungwa hatoki ndani ya geti hilo.
Alikua kwenye mazingira ya kuzungumza akiwa anajirekodi katika maeneo hayo.
Nilipomwona askari mmoja aliniita akaniambia unakuja kufanya nini hapa ondoka. Ndipo nilipomtazama Polepole kwa huzuni na kuondoka mahali hapo penye Ulinzi mkali.
« Nikiwa nimelala nimepelekwa mpaka alipo Polepole, Polepole yupo jeshini anadhibitiwa na jeshi. Yupo humo kama Mfungwa hatoki ndani ya geti hilo.
Alikua kwenye mazingira ya kuzungumza akiwa anajirekodi katika maeneo hayo.
Nilipomwona askari mmoja aliniita akaniambia unakuja kufanya nini hapa ondoka. Ndipo nilipomtazama Polepole kwa huzuni na kuondoka mahali hapo penye Ulinzi mkali.