Leo mchana nimeota ndoto mbaya inahusu kolowizadi kupigwa mkono na Al ahly October 5, kwa mkapa na kule Masri nikasikia watu kama waarabu wanaimba sabah sabah sabah. Wala Sijui walimaanisha nini
Wewe ni NUMBU(KIAZI)Leo mchana nimeota ndoto mbaya inahusu kolowizadi kupigwa mkono na Al ahly October 5, kwa mkapa na kule Masri nikasikia watu kama waarabu wanaimba sabah sabah sabah. Wala Sijui walimaanisha nini
Watutibu sisi kwani wao wazima?serikali ijikite katika kutibu tatizo la afya ya akili nchini
Utajua mimi ni kiazi au siyo october 5, kwa mkapaWewe ni NUMBU(KIAZI)
jitie dole unuseLeo mchana nimeota ndoto mbaya inahusu kolowizadi kupigwa mkono na Al ahly October 5, kwa mkapa na kule Masri nikasikia watu kama waarabu wanaimba sabah sabah sabah. Wala Sijui walimaanisha nini
Leo mchana nimeota ndoto mbaya inahusu kolowizadi kupigwa mkono na Al ahly October 5, kwa mkapa na kule Masri nikasikia watu kama waarabu wanaimba sabah sabah sabah. Wala Sijui walimaanisha nini
Neyo numbu ya nsongo (kizazi kilicho na mashimo yaliyosababishwa na funza wa ardhini).Wewe ni NUMBU(KIAZI)
Ndoto huwa ni jambo unaloliwaza mara kwa mara. Yaani wewe ni utopolo lakini bado unawaza draw ya michuano ya African Football League ambayo timu yako hata haikuwa na vigezo vya kuwa reserve wa kushiriki? Hadi kabisa unaota na ndoto!Leo mchana nimeota ndoto mbaya inahusu kolowizadi kupigwa mkono na Al ahly October 5, kwa mkapa na kule Masri nikasikia watu kama waarabu wanaimba sabah sabah sabah. Wala Sijui walimaanisha nini
Leo mchana nimeota ndoto mbaya inahusu kolowizadi kupigwa mkono na Al ahly October 5, kwa mkapa na kule Masri nikasikia watu kama waarabu wanaimba sabah sabah sabah. Wala Sijui walimaanisha nini
Dah NUMBU umenikumbusha mbali, siku hizi hizo kitu hazipatikani. Zamani zilikuwa kwa wingi maeneo ya Kipengele (NJOMBE) na MAKETE. Halafu zilikuwa tamu sana kwa kupiga na chai.Wewe ni NUMBU(KIAZI)
Mbona husemi na ulivyoota unakojoa..ukakojoa na kulowesha kochi la shemeji yakoLeo mchana nimeota ndoto mbaya inahusu kolowizadi kupigwa mkono na Al ahly October 5, kwa mkapa na kule Masri nikasikia watu kama waarabu wanaimba sabah sabah sabah. Wala Sijui walimaanisha nini