Nimeota robo robo fc atapigwa mkono na al ahly kwenye mechi ya ufunguzi, AFL, October, 5 kwa Mkapa

Algore

JF-Expert Member
Apr 26, 2020
2,097
3,362
Leo mchana nimeota ndoto mbaya inahusu kolowizadi kupigwa mkono na Al ahly October 5, kwa mkapa na kule Masri nikasikia watu kama waarabu wanaimba sabah sabah sabah. Wala Sijui walimaanisha nini
 
Leo mchana nimeota ndoto mbaya inahusu kolowizadi kupigwa mkono na Al ahly October 5, kwa mkapa na kule Masri nikasikia watu kama waarabu wanaimba sabah sabah sabah. Wala Sijui walimaanisha nini
Ndoto huwa ni jambo unaloliwaza mara kwa mara. Yaani wewe ni utopolo lakini bado unawaza draw ya michuano ya African Football League ambayo timu yako hata haikuwa na vigezo vya kuwa reserve wa kushiriki? Hadi kabisa unaota na ndoto!
 
Leo mchana nimeota ndoto mbaya inahusu kolowizadi kupigwa mkono na Al ahly October 5, kwa mkapa na kule Masri nikasikia watu kama waarabu wanaimba sabah sabah sabah. Wala Sijui walimaanisha nini
 
Al ahyl sio ASAS. WEWE endelea tu kuwafunga hao asas, kmc na jkt huku afl huwezi kutia maguu
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Leo mchana nimeota ndoto mbaya inahusu kolowizadi kupigwa mkono na Al ahly October 5, kwa mkapa na kule Masri nikasikia watu kama waarabu wanaimba sabah sabah sabah. Wala Sijui walimaanisha nini
Mbona husemi na ulivyoota unakojoa..ukakojoa na kulowesha kochi la shemeji yako
 
Back
Top Bottom