Nimeona uchi wa mama wa rafiki yangu.

Nimeona uchi wa mama wa rafiki yangu.

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,460
Reaction score
4,167
Wakuu
Kwa masikitiko makubwa sana naleta huu uzi hapa jamvini.
Nimemtembelea rafiki yangu ambae aliniambia yuko likizo nyumbani kwao,sasa nimefika nikapiga hodi hakuna aliyeitikia,nikaamua kukaa nje tu pale nisubiri wahusika waje,huyu jamaa kwao wanatumia bafu la nje,nikaona mlango wa bafu unafunguliwa,mama wa jamaa akatoka akawa kama anajifunika kanga hivi vizuri nikaona uchi wake.huyu mama kiumri ni mtu mzima huenda akawa na miaka 60+.alivyoniona akaniambia tu kyanyangwe mwanangu hujambo nami nikazuga ka sijaona k yake nikawa namsalimia kwa adabu zote.
Huu utupu wake kuuona umeniacha na mawazo sana kwa kweli nisije nikapata laana bure.
 
Wakuu
Kwa masikitiko makubwa sana naleta huu uzi hapa jamvini.
Nimemtembelea rafiki yangu ambae aliniambia yuko likizo nyumbani kwao,sasa nimefika nikapiga hodi hakuna aliyeitikia,nikaamua kukaa nje tu pale nisubiri wahusika waje,huyu jamaa kwao wanatumia bafu la nje,nikaona mlango wa bafu unafunguliwa,mama wa jamaa akatoka akawa kama anajifunika kanga hivi vizuri nikaona uchi wake.huyu mama kiumri ni mtu mzima huenda akawa na miaka 60+.alivyoniona akaniambia tu kyanyangwe mwanangu hujambo nami nikazuga ka sijaona k yake nikawa namsalimia kwa adabu zote.
Huu utupu wake kuuona umeniacha na mawazo sana kwa kweli nisije nikapata laana bure.
🤣🤣🤣🤣
 
Wakuu
Kwa masikitiko makubwa sana naleta huu uzi hapa jamvini.
Nimemtembelea rafiki yangu ambae aliniambia yuko likizo nyumbani kwao,sasa nimefika nikapiga hodi hakuna aliyeitikia,nikaamua kukaa nje tu pale nisubiri wahusika waje,huyu jamaa kwao wanatumia bafu la nje,nikaona mlango wa bafu unafunguliwa,mama wa jamaa akatoka akawa kama anajifunika kanga hivi vizuri nikaona uchi wake.huyu mama kiumri ni mtu mzima huenda akawa na miaka 60+.alivyoniona akaniambia tu kyanyangwe mwanangu hujambo nami nikazuga ka sijaona k yake nikawa namsalimia kwa adabu zote.
Huu utupu wake kuuona umeniacha na mawazo sana kwa kweli nisije nikapata laana bure.

It was by accident. Why do you report it?
 
Wakuu
Kwa masikitiko makubwa sana naleta huu uzi hapa jamvini.
Nimemtembelea rafiki yangu ambae aliniambia yuko likizo nyumbani kwao,sasa nimefika nikapiga hodi hakuna aliyeitikia,nikaamua kukaa nje tu pale nisubiri wahusika waje,huyu jamaa kwao wanatumia bafu la nje,nikaona mlango wa bafu unafunguliwa,mama wa jamaa akatoka akawa kama anajifunika kanga hivi vizuri nikaona uchi wake.huyu mama kiumri ni mtu mzima huenda akawa na miaka 60+.alivyoniona akaniambia tu kyanyangwe mwanangu hujambo nami nikazuga ka sijaona k yake nikawa namsalimia kwa adabu zote.
Huu utupu wake kuuona umeniacha na mawazo sana kwa kweli nisije nikapata laana bure.
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom