Nimeona maajabu leo Ngorongoro

Nimeona maajabu leo Ngorongoro

Umeonaeeeeeee?
Recently nimeona thread hapa JF ikihusu Mwandishi wa Habari kuchapwa viboko huko kwa Wamasai. Hakika nilimuonea huruma baada ya kuona picha yake ya manundunundu.

Sikuishia hapo, nilifuatilia yaliyojiri huko. Taarifa za uhakika, ni kwamba alienda huko sio kama mwandiahi wa Habari, bali mmoja wa washawishi wa kuwaondoa Wamasai.Nafikiri Video ike ipo hapa Jamvini.

Aloo, baada ya kuona na kusikia yale yaliyokuwa yanamvuja kutoka mdomoni mwake, nilitamani niwe ni mmoja wa wale morani waliosadikika kumchapa, yani ningechapa kweli kweli, angehara huyo. Huruma yangu ilishaisha.

Nawasihi tu hawa ndugu zetu wa masai, wasiache silaha zao za Jadi, na Kamwe wasiziweke chini. Ni Kiboko tu kwa hawa Majambazi ya Karne.
 
Jitahidi uwe unalitazama jambo lolote kwa uhalisia wake kabla ya kuweka unayoyawaza.Itakusaidia sana.Laa sivyo,utajikuta unapata jakamoyo.
'...jakamoyo"
Msamiati mpya? Nini, "heart attack".; "stroke"? 'Shinikizo la damu'; cardiac arrest,....?
 
Aidha ni 'coincidence' au siyo, kwamba Mwarabu anarithishwa mali zetu za asili - Loliondo na sasa Ngorongoro na Bandari zote za Tz Bara (nchi ile ya Tanganyika) - katika awamu ambapo MKUU wa nchi anatokea ule upande mwingine wa nchi zilizoungana , JMT. Raia wa NCHI nyingine iitwayo Zanzibar na mwenye akiwa na vinasaba vya Kiarabu.
Lawama zote kwa mchonga ndiye alituletea huu muungano wa mchongo
 
Hakuna mmasai hapo hata mmoja. Hao ni masela wa Godbless Lema tu toka mjini wameletwa wakapewa na madera ya kimasai
Usitumie hayo kufikiri
JamiiForums663665719.jpg
 
Hiyo kauli aliianzisha mkosa maadili slaa. Umesahau? Yuko wapi sasa? mungu alimwacha njiani au yeye kamuwacha mungu njiani?
Kama ni hivyo, basi hata yale maneno ya "HAPA NI KAZI TU! " yafutwe kwenye zile ndege na meli!
 
Duh Wamasai wamejionea wenyewe wanavyonyanyasika, sasa wote wameona wahamie Chadema, wapate ukombozi dhidi ya MaCCM.
 
Nawafahamu wamaasai kipindi kirefu ingawa siyo sana.

Nimeishi hapa Karatu vipindi tofauti tofauti hasa kule Mang'ola kwenye wakulima wengi wa vitunguu.

Sijawahi kujua kuwa wamaasai ni wapenzi wa siasa za upinzani hapa Tanzania .

Nimeshuhudia leo hapa Ngorongoro na hakika sikuamini maana ni mara yangu ya kwanza kuona hili jambo.

Hii ni rekodi mpya kwangu na daima irabakia maishani mwangu.


Leo wamaasai wameimba nyimbo nyingi sana na kusali na kuimba nyimbo za kanisani kwangu mimi ni maajabu.

Tuwape nafasi wanaweza kuongeza chachu kwenye vyama vya upinzani.View attachment 2743259

Kwa kweli Furaha na tabasamu imeonekana baada kadhia nzito.
Mungu azidi kusimama nao….
 
Nawafahamu wamaasai kipindi kirefu ingawa siyo sana.

Nimeishi hapa Karatu vipindi tofauti tofauti hasa kule Mang'ola kwenye wakulima wengi wa vitunguu.

Sijawahi kujua kuwa wamaasai ni wapenzi wa siasa za upinzani hapa Tanzania .

Nimeshuhudia leo hapa Ngorongoro na hakika sikuamini maana ni mara yangu ya kwanza kuona hili jambo.

Hii ni rekodi mpya kwangu na daima irabakia maishani mwangu.


Leo wamaasai wameimba nyimbo nyingi sana na kusali na kuimba nyimbo za kanisani kwangu mimi ni maajabu.

Tuwape nafasi wanaweza kuongeza chachu kwenye vyama vya upinzani.View attachment 2743259
Chama changu ccm kinakosa watu wenye akili wa kuyatazama mambo KWA uhalisia wake!!

SASA hao wamasai wamepigika KWA hofu,vitisho,wasiwasi KWA SASA LAZIMA waunge mkono upinzani!!

Kama waliamua kuwekeza ngorongoro kwanini wasingewaacha wawepo hapo hapo walipopazoea!!?

Kama awamu hii imekosa pa kupigia pesa Bas wangekubali kuwa waliowatangulia wamekula vya kutosha wao hawana pa kula Basi kuliko kulazimisha mwishowe kuwaumiza watu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom