Nimeona korosho ina kichwa kama cha mtu... one maajabu haya

Fitna za mabeberu
tapatalk_1551122273789.jpeg
 
sisi watu wa kusin serikali imetuangusha sana kwny korosho mcm uliopta kwan mpk iv sasa watu wengi bhado hawajalipwa...mbaya zaid wabunge wetu wakitutetea chama fulan knawapga mkwara kwamba knawasubr 2020 kiwakate..loooooh
 
Mambo mengine ni uumbaji wa MUNGU siyo sahihi kumshambulia mtu kutokana na uumbaji.kwa hili TUMUOGOPE MUNGU NDUGU ZANGU. Magufuli hakujiumba vile alivyo Bali ameumbwa.Muumbwaji uwezi kuchagua jinsi ya kuumbwa. TUMHESHIMU MUNGU KWA HILI WAKUU. Muwe na siku njema WAKUU.
 
Mambo mengine ni uumbaji wa MUNGU siyo sahihi kumshambulia mtu kutokana na uumbaji.kwa hili TUMUOGOPE MUNGU NDUGU ZANGU. Magufuli hakujiumba vile alivyo Bali ameumbwa.Muumbwaji uwezi kuchagua jinsi ya kuumbwa. TUMHESHIMU MUNGU KWA HILI WAKUU. Muwe na siku njema WAKUU.
Kama mwenyewe ameshindwa kuheshimu watu kwa rangi zao na kutamka waziwazi anategemea nini?
 
Kama mwenyewe ameshindwa kuheshimu watu kwa rangi zao na kutamka waziwazi anategemea nini?
Mkuu hata mimi ni mmoja wa wanapiga matendo yake maovu. Ila kwenye ishu kama ya uumbaji ni swala la MUNGU. na nimesema Kwa hili TUMUOGOPE NA TUMHESHIMU MUNGU. Maana kama vile kinachokosolewa ni UUMBAJI WA MUNGU
 
😂😂😂😂
Hiyo sura kama za wale wazee wa maabara katika movie za wrong turn.
 
Back
Top Bottom