Halafu imekasirika pia!Haya mambo haya ya kusema korosho ni fitina za mabeberu
Nimejikuta nacheka tu wakati nacheki huo mjadala ikaja korosho moja ina kichwa cha mtu haki nimechekaa
Angalia hiyo korosho hapo katikati ya hizo pillarz za koroshoView attachment 1114626
Yaishe mkuuMkuu sijakuelewa maana nazungumzia koroshow
Limetoa jicho kama kibudu,mnirekebishe kama hilo jina nme mis spellling wakuuKichwa cha bwana Joni
Kugeuzwa vile juu chini mchezo...hata mm ningekasirika..Halafu imekasirika pia!
Haujakodolea vzuri hiyo picha. Hata ile ha kushoto inaonesha mzee mmoja kapozi kwa jaziba kishenzi, hacheki na mtu, kafura kwelikweli.Haya mambo haya ya kusema korosho ni fitina za mabeberu
Nimejikuta nacheka tu wakati nacheki huo mjadala ikaja korosho moja ina kichwa cha mtu haki nimechekaa
Angalia hiyo korosho hapo katikati ya hizo pillarz za koroshoView attachment 1114626
Limetoa jicho kama kibudu,mnirekebishe kama hilo jina nme mis spellling wakuu