Nimeona chupi ya ajabu!


kwa hiyo inakuwa ni fahari ya macho tu basi? au unavyoangalia unawaza nini hasa
 
Akifika chumbani ndio utashuudia atapovua nguo utadhani mbuzi no hips no makalio yupoyupo tu mbele hachezi nyuma hatingishiki kazi kwelikweli mambo ya town

Hahaha...mwingine alivyopigwa pasi mhindi au mchina kasingiziwe,,yaani nyuma ni flat kama ubao wa matangazo.
 
Hukuona zile boxer za wanaume zilizituna mbele ili ionyeshe mtu ana kitendea kikubwa?
 
Kumbe hi mizigo tunayokatia shingo ni mavitambaa...wametuweza kweli wengine tunaopenda mizigo mikubwa....
 

Sasa akiingia ndani halafu akavua nguo na kugundua kuwa kapigwa pasi inakuwaje? Sijui mtu anaficha umbo lake ili iweje!!
 
Hahahaha jamani mnatusimanga na sony wega zetu!
Akifika chumbani ndio utashuudia atapovua nguo utadhani mbuzi no hips no makalio yupoyupo tu mbele hachezi nyuma hatingishiki kazi kwelikweli mambo ya town
 
Hamshangai almost kila mtu ana hips na wo.wo.wo siku hizi? Wanaume si mnavutiwa na outward appearance, nasi tunajua exactly what u want...stay tuned more drama is coming.
 
Akifika chumbani ndio utashuudia atapovua nguo utadhani mbuzi no hips no makalio yupoyupo tu mbele hachezi nyuma hatingishiki kazi kwelikweli mambo ya town

jamani mi hoi lol kama mbuzi tena!!!!!!!
 
Tatizo ni nyie wanaume,mnataka wamama waliojazia i.e ------ na mapaja makubwa. Sasa mlitaka wafanyeje?
 
Kuna jamaa aliiona mkewe kaitundika kwenye hanger akamuuliza hii.chupi vp mkewe akamwambia ya kutunisha makalio. Jamaa akamuuliza mkewe sasa anamvalia nani mana km yeye anajua kama hana kama yale na kamuona kabla hajamuoa. Jamaa chupi aliichana chana kwa visu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…