NIMEOKOTA laptop

Huyu siyo fisadi mwenziwe mbarara zomba wewe,huyu ni mwanainchi mwenye uchu na wanainchi wenzake,kama mlikuwa naye kule ulafini ameamua kuwatoka kitambo na amekuja katika jamii na huu ni udhibitisho tosha kwamba ni mwanainchi mpenda wanainchi wake!


Umeokota, umeikuta?

Hata kama ameokota,ameikuta yeye kwa kuwa si fisadi ameamua kuitangazia umma! Kazi kwako mtumwa zomba
 
too strategic... achana kabisa na wabongo...:becky:
 
Hahaaaaa bujibuji weeeeeeeee..yaaniiii
 
Kweli athibitishe ama afute kauli,lol

Mambo miss chit chat? mwacheni bujibuji huwa anazo za kurukia barabara tu. hawezi kuwa accuse mademu wazuri kama wewe namna hii tumriport abuse?
 
Poa,no usimripot labda alikutana na mwenye gono huwezi jua!
Mambo miss chit chat? mwacheni bujibuji huwa anazo za kurukia barabara tu. hawezi kuwa accuse mademu wazuri kama wewe namna hii tumriport abuse?
 

Kaona ya kizamani huyo hana lolote, halafu anajidai alimpa lifti! kumbe ni teksi dereva!

Hamjui kusoma katikati ya mistari?
 

Mungu akubariki na kukuzidishia mema kwa hili jambo jema unalo fanya hapa. Be blessed Bujibuji
 

Huu ndio ubinadamu bro! Shukrani kwako!
 
Poa,no usimripot labda alikutana na mwenye gono huwezi jua!

sasa kama alikutana na mwenye gono ndio awaingize warembe wote wa JF maana humu wamo mama zetu na dada zetu hatuwezi kukaa kimya akawatukana matusi ya nguoni namna hii
 

JF Members wote wanapaswa kuiga mfano wa huyu bwana Bujibuji. Hakika wewe ni muungwana!
 
kaka mbona kama una bifu na mchaga mwezio Mkuu Rombo??kweli mtafungua duka pamoja hapo manzese namna hii??

aiseeee babaangu mimi sina bifu na m2 yoyote hata mod anajua kama jf inambowa ajituwe humu janvini coz sio lazima wote 2we members wa jf wengine wawe wasomaji 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…