Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,024
- 1,960
Nimeoa mwanamke ili kumukomoa mwanamke ambaye nilimpenda kwa dhati ambaye nilikuwa naye mahusiano kipindi cha mwaka mmoja.
Tuliahindiana kumuoa ila doto hizo zilizimika pale nilpomununulia simu ya Huawei y330.
Ikiwa siku moja nilipochukua simu yake nakwenda kwenye call history ili kuangalia namba anayowasliana nayo mara kwa mara.
Nikakuta namba ya mtu mwingine.
Ambayo namba ile ilikuwa imepingiwa na kupinga mara nyingi zaidi yangu mimi.
ambaye history ilionesha nimepigiwa mara tano na jamaa kapigiwa mara 89.
Siku ile nilichukua ile namba nakuipingia nakungudua ile namba kumbe ilikuwa na mimi ninayo kwenye simu yangu
Jamaa nikawa nimemujua.
Baada ya hapo nilimtafuta jamaa tukaongea kiume tukayamaliza na ili kumkomoa yule dada.
Tulielewana na jamaa tumuache wote na tukawa marafiki sote tukashauriana tukaoe kwingine kweli lengo letu lilifakiwa tukaoa na yule damu akabaki hana boyfriend tena.
Tangu nioe leo ni mwezi mmoja na mahali nimetoa ngombe 12
Baada tu yakuoa yule dada alikuja kwangu nakuniomba msamaha kwa yale yote yaliyotokea
Kusema ukweli nampenda sana huyu dada
Na huyu niliyemuoa sifurahii kabsa katika tendo hadi inafikia wakat ili kuijoy zaidi nihamishe akili kwamba ni yule wa zamani ninayefanya naye tendo
Vituko na dharau kwa huyu niliyemuoa zinanifanya nimkumbuke zaidi x wangu.
Jamani wana JF naomba msaada wenu wa mawazo nifanyaje kwenye njia panda hii ya mapenzi.
Tuliahindiana kumuoa ila doto hizo zilizimika pale nilpomununulia simu ya Huawei y330.
Ikiwa siku moja nilipochukua simu yake nakwenda kwenye call history ili kuangalia namba anayowasliana nayo mara kwa mara.
Nikakuta namba ya mtu mwingine.
Ambayo namba ile ilikuwa imepingiwa na kupinga mara nyingi zaidi yangu mimi.
ambaye history ilionesha nimepigiwa mara tano na jamaa kapigiwa mara 89.
Siku ile nilichukua ile namba nakuipingia nakungudua ile namba kumbe ilikuwa na mimi ninayo kwenye simu yangu
Jamaa nikawa nimemujua.
Baada ya hapo nilimtafuta jamaa tukaongea kiume tukayamaliza na ili kumkomoa yule dada.
Tulielewana na jamaa tumuache wote na tukawa marafiki sote tukashauriana tukaoe kwingine kweli lengo letu lilifakiwa tukaoa na yule damu akabaki hana boyfriend tena.
Tangu nioe leo ni mwezi mmoja na mahali nimetoa ngombe 12
Baada tu yakuoa yule dada alikuja kwangu nakuniomba msamaha kwa yale yote yaliyotokea
Kusema ukweli nampenda sana huyu dada
Na huyu niliyemuoa sifurahii kabsa katika tendo hadi inafikia wakat ili kuijoy zaidi nihamishe akili kwamba ni yule wa zamani ninayefanya naye tendo
Vituko na dharau kwa huyu niliyemuoa zinanifanya nimkumbuke zaidi x wangu.
Jamani wana JF naomba msaada wenu wa mawazo nifanyaje kwenye njia panda hii ya mapenzi.