Nimeoa kumkomoa mwanamke nileyempenda kwa dhati. Najuta

Ndoa ina mwezi mmoja tu tayari huna hamu na mkewe wa ujana!!! Yaani Shetani anakutafuta kwa spidi ya 4G. Usipokubali kusali kwa imani ili Bwana akushindie hilo jaribu bhasi huyo X atakuharibia haswaa na utayumba mno.
 
Mhh ndo hapo naposhindwa kuelewa unakubalije kuoa mwanamke usiyempenda. Bora ya mwanamke akiolewa na mwanaume asiyempenda anaweza kujifunza kumpenda ila kwa mwanaume huwa ni ngumu. Pole sana mtoa mada ila ulikosea.
hata mwanamme anaweza kumuoa binti asiyempenda ila akajifunza kumpenda taratibu, tena ni raha sana kama mwanamme umekomaa akili maana utaishi na mkeo kwa akili zaidi na siyo kwa hisia za kupenda kwa kiwango cha kuchanganyikiwa.
 
Nimeoa mwanamke ili kumukomoa mwanamke ambaye nilimpenda kwa dhati ambaye nilikuwa naye mahusiano kipindi cha mwaka mmoja.
Tuliahindiana kumuoa ila doto hizo zilizimika pale nilpomununulia simu ya Huawei y330.
Ikiwa siku moja nilipochukua simu yake nakwenda kwenye call history ili kuangalia namba anayowasliana nayo mara kwa mara.
Nikakuta namba ya mtu mwingine.
Ambayo namba ile ilikuwa imepingiwa na kupinga mara nyingi zaidi yangu mimi.
ambaye history ilionesha nimepigiwa mara tano na jamaa kapigiwa mara 89.
Siku ile nilichukua ile namba nakuipingia nakungudua ile namba kumbe ilikuwa na mimi ninayo kwenye simu yangu
Jamaa nikawa nimemujua.

Baada ya hapo nilimtafuta jamaa tukaongea kiume tukayamaliza na ili kumkomoa yule dada.

Tulielewana na jamaa tumuache wote na tukawa marafiki sote tukashauriana tukaoe kwingine kweli lengo letu lilifakiwa tukaoa na yule damu akabaki hana boyfriend tena.

Tangu nioe leo ni mwezi mmoja na mahali nimetoa ngombe 12
Baada tu yakuoa yule dada alikuja kwangu nakuniomba msamaha kwa yale yote yaliyotokea
Kusema ukweli nampenda sana huyu dada
Na huyu niliyemuoa sifurahii kabsa katika tendo hadi inafikia wakat ili kuijoy zaidi nihamishe akili kwamba ni yule wa zamani ninayefanya naye tendo

Vituko na dharau kwa huyu niliyemuoa zinanifanya nimkumbuke zaidi x wangu.

Jamani wana JF naomba msaada wenu wa mawazo nifanyaje kwenye njia panda hii ya mapenzi.
unampenda mtu ambaye alishaanza kukucheat wakat hata hujatoa mahali, ungeingia naye kwenye ndoa si ndio angekuweka ndodocha. jamaa una akili kweli wewe? unaijua ndoa unaisikia.
 
Nimeoa mwanamke ili kumukomoa mwanamke ambaye nilimpenda kwa dhati ambaye nilikuwa naye mahusiano kipindi cha mwaka mmoja.
Tuliahindiana kumuoa ila doto hizo zilizimika pale nilpomununulia simu ya Huawei y330.
Ikiwa siku moja nilipochukua simu yake nakwenda kwenye call history ili kuangalia namba anayowasliana nayo mara kwa mara.
Nikakuta namba ya mtu mwingine.
Ambayo namba ile ilikuwa imepingiwa na kupinga mara nyingi zaidi yangu mimi.
ambaye history ilionesha nimepigiwa mara tano na jamaa kapigiwa mara 89.
Siku ile nilichukua ile namba nakuipingia nakungudua ile namba kumbe ilikuwa na mimi ninayo kwenye simu yangu
Jamaa nikawa nimemujua.

Baada ya hapo nilimtafuta jamaa tukaongea kiume tukayamaliza na ili kumkomoa yule dada.

Tulielewana na jamaa tumuache wote na tukawa marafiki sote tukashauriana tukaoe kwingine kweli lengo letu lilifakiwa tukaoa na yule damu akabaki hana boyfriend tena.

Tangu nioe leo ni mwezi mmoja na mahali nimetoa ngombe 12
Baada tu yakuoa yule dada alikuja kwangu nakuniomba msamaha kwa yale yote yaliyotokea
Kusema ukweli nampenda sana huyu dada
Na huyu niliyemuoa sifurahii kabsa katika tendo hadi inafikia wakat ili kuijoy zaidi nihamishe akili kwamba ni yule wa zamani ninayefanya naye tendo

Vituko na dharau kwa huyu niliyemuoa zinanifanya nimkumbuke zaidi x wangu.

Jamani wana JF naomba msaada wenu wa mawazo nifanyaje kwenye njia panda hii ya mapenzi.
Umevuna ulicho panda,poleee faida ya kulipiza kisasi ndo hiyo na hasira huwa ni hasara ndugu... Sisi ni binadamu wote hukosea we ukaona kuongea na jamaa na kuamua kuachana na huyo dada ni kumkomoa usikute na mwenzio ana kipata cha mtema kuni kama wewe au ye ana enjoy ndoa yake. Isome namba tu hamna jinsi
 
Imeandikwa mtu asipunguze neno katika kitabu hiki maana sehemu yake itaondolewa katika uzima wa milele na mtu asiongeze neno maana ataongezewa mateso katika hukumu... Unataka kusema Mungu alimuumba Adam na wanawake wangapi? Kwanini asingemuumbia wanawake wengi kama ni sahihi mahusiano ya namna hiyo; unadhani haya magonjwa yote tuliyonayo yanayoenezwa kwa ngono ni jambo jema?
Imeandikwa mtu atamwacha baba yake na mama yake na kuambatana na mkewe sio wakeze.
Usiongelee ukristo kwa point za kijinga, usimtukane kristo kwa tamaa zako.
Eti ustaarabu wa wazungu

Mimi siongezi neno ila kama ni hivyo Adam alipewa mke mmoja na Mungu kizazi kilichofuata kaka walioa dada zao ? Na Kama ni hivyo ukristo uanturuhusu kuoa dada zetu . Mimi naona biblia ina mapana zaidi ila dini inatohoa vifungu na kuacha vingine ili kukidhi haja za ukristo .
 
Hakuna kosa kubwa utalofanya kama kurudi nyuma hasa kwenye mahusiano,maana japo furaha yako iko kwake na jua kabisa unampa hati miliki ya kukuumiza


Hicho ni kipindi cha mpito vuta subra utajifunza kumpenda uyo ulionaye ufunguwe moyo wako kwake namwachie mkonoX wako
 
Hakuna kosa kubwa utalofanya kama kurudi nyuma hasa kwenye mahusiano,maana japo furaha yako iko kwake na jua kabisa unampa hati miliki ya kukuumiza


Hicho ni kipindi cha mpito vuta subra utajifunza kumpenda uyo ulionaye ufunguwe moyo wako kwake namwachie mkonoX wako
Asante sana mkuu
 
Mimi siongezi neno ila kama ni hivyo Adam alipewa mke mmoja na Mungu kizazi kilichofuata kaka walioa dada zao ? Na Kama ni hivyo ukristo uanturuhusu kuoa dada zetu . Mimi naona biblia ina mapana zaidi ila dini inatohoa vifungu na kuacha vingine ili kukidhi haja za ukristo .
Ndo maana kuna mwingine aliuliza aliyeandika aliwaonaje, kuna hadithi za mfano zenye lengo la kukupa logic ya mapenzi ya Mungu kwa mwanadamu. Kuna vitu havisemwi ila unayaona madhara yake kwa waliovifanya na unajua kwanini Mungu alikusudia the other way tofauti na watu walivyofanya. Mfano Nuhu aliwalaani wanae kwa kuwakalia uchi baada ya kulewa, lutu alileweshwa na binti zake akalala nao na kuwazaa kabila nadhan ni waameleki ambao baadae ilibidi waje waondolewe ... Ukisoma hizi unaelewa pombe iliplay part, kama hivi sasa ambavyo ulevi umeharibu maisha ya watu. Ila watu hatusomi kupata ufahamu, SAA nyingine tunasoma Ili tubishane au tunasoma kama kitabu cha hadithi
 
Pole sana mkuu usifany maamuz ya kukurupuk ni mabaya sana yameshanikost mpk najutia kwasasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom