BarajaMkush
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 1,633
- 2,946
Unapikia Gesi gani hiyo dada ya kuwashia kwenye Socket na kuzimia kwenye Mainswitch!?
🤣🤣🤣Looking for you
Mkuu kwa nini huwa unamtetea sana Miss Natafuta?Kuna agenda gani?Kwani usinge comment ungepungukiwa na Nini?
Kuna majiko ya gas lakini unawashia umeme ignition yake sio automatic. Kama yale ya gas ya kuwashia kiberiti, haya unaweza kuwashia kiberiti au unachomeka waya kwenye switch na kwenye jiko kuna sehemu yake ambayo unakua unawasha na ukifungulia gas unapata moto. Kwahiyo inaonekana ile switch kule ukutani ilikua on baada ya hapo sijui maelezo yaliyofata ilikuaje mpaka ukatokea moshi kwenye switch (sijamuelewa) ila kwa kuwa ile switch iliyowaka ni umeme lazima akazime kwenye main switch.Swali la kizushi: jiko ni la gesi au umeme? Kama ni gesi main switch inahusikaje?
Agenda gegedo mgegedoMkuu kwa nini huwa unamtetea sana Miss Natafuta?Kuna agenda gani?
Ana chura?Agenda gegedo mgegedo
Kafuga hadi mijusiAna chura?
Niambie ulipo ili nije haraka kukufariji!Natetemeka
Mungu ni mwema bestie .Asante sanaPole sana miss, we're glad you're safe.