Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,532
- 45,760
- Thread starter
- #61
Atapumuaje mjini hapa??Mkuu kwa nini huwa unamtetea sana Miss Natafuta?Kuna agenda gani?
Atapumuaje mjini hapa??Mkuu kwa nini huwa unamtetea sana Miss Natafuta?Kuna agenda gani?
Baby wangu nimekumissije??Kafuga hadi mijusi
malaika mtoa roho huwa hajali hyo! sjui kwa nini...!!pole, usimwambie mumeo 😌Nipo jikoni mida hii nilikuwa napika maharage kwenye pressure cooker kwenye gesi.
Nilikuwa sijazima ukutani socket ya kuwashia gesi. Bahati mbaya pressure cooker sijui mfuniko umebust wapi lilishakolea Moto ile prresure ikaanza kutoka jiko lote limejaa Moshi na socket ukutani ikaanza kuwaka.
Nimekimbilia tu kwenye mainswitch kuzima, just imagine angekuwa dada tu na mtoto? Mungu ni mwema wapendwa nishawasha mkaa sirudii tena.
Siku hizi wana jf wapya toka kuzimu idadi inaongezekaKwahiyo unataka nini? Seeking JF sympathy?
Looking for you
Hebu tulia kwanza, kunywa maji kiasiNipo jikoni mida hii nilikuwa napika maharage kwenye pressure cooker kwenye gesi.
Nilikuwa sijazima ukutani socket ya kuwashia gesi. Bahati mbaya pressure cooker sijui mfuniko umebust wapi lilishakolea Moto ile prresure ikaanza kutoka jiko lote limejaa Moshi na socket ukutani ikaanza kuwaka.
Nimekimbilia tu kwenye mainswitch kuzima, just imagine angekuwa dada tu na mtoto? Mungu ni mwema wapendwa nishawasha mkaa sirudii tena.
Achana na hilo pressure cooker,ndo chanzo cha tatizoNipo jikoni mida hii nilikuwa napika maharage kwenye pressure cooker kwenye gesi.
Nilikuwa sijazima ukutani socket ya kuwashia gesi. Bahati mbaya pressure cooker sijui mfuniko umebust wapi lilishakolea Moto ile prresure ikaanza kutoka jiko lote limejaa Moshi na socket ukutani ikaanza kuwaka.
Nimekimbilia tu kwenye mainswitch kuzima, just imagine angekuwa dada tu na mtoto? Mungu ni mwema wapendwa nishawasha mkaa sirudii tena.
Kumbe ulikuwa naye!??? Au wewe ndiye ulitibua majanga!???Post hii inaonesha jinsi uwezo mdogo wa kufikiri unavyowakabili memba wa JF of GT's, wengi wanakurupuka kujibu bila kuisoma hoja na kuielewa. Miss Natafuta alichoandika hakieleweki kwani hilo jiko la gesi halieleweki hiyo gesi inawashwa kwenye soketi na meini swichi! Mfuniko wa preshakuka ukifunuka ni mvuke utatoka ndani ya sufuria na siyo gesi, gesi hawezi kulipuka kwa sababu swichi haijazimwa, labda kama gesi inavuja nawe ukawasha swichi yenye umeme.
Habari yote ya tukio haieleweki, naona ni ndoto zake tu baada ya kutafuta na kukosa.
nasisitiza nayeye mwenyewe.
Unatakaje? Niishi nae au nisiishi nae??Baba wa mtoto unaishi naye au wewe ni singo maza?
By the way pole kwa ajali ya moto.
au hujalipenda swali langu?Unatakaje? Niishi nae au nisiishi nae??