Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,828
Nipo jikoni mida hii nilikuwa napika maharage kwenye pressure cooker kwenye gesi.
Nilikuwa sijazima ukutani socket ya kuwashia gesi. Bahati mbaya pressure cooker sijui mfuniko umebust wapi lilishakolea Moto ile prresure ikaanza kutoka jiko lote limejaa Moshi na socket ukutani ikaanza kuwaka.
Nimekimbilia tu kwenye mainswitch kuzima, just imagine angekuwa dada tu na mtoto? Mungu ni mwema wapendwa nishawasha mkaa sirudii tena.
Nilikuwa sijazima ukutani socket ya kuwashia gesi. Bahati mbaya pressure cooker sijui mfuniko umebust wapi lilishakolea Moto ile prresure ikaanza kutoka jiko lote limejaa Moshi na socket ukutani ikaanza kuwaka.
Nimekimbilia tu kwenye mainswitch kuzima, just imagine angekuwa dada tu na mtoto? Mungu ni mwema wapendwa nishawasha mkaa sirudii tena.