Akijibu hili nitag
Mkuu naomba ufafanuzi wa paragraph ya mwisho.AliExpress wanapokea kadi za kawaid, payment ni through aliexpress wenyewe so iko salama hakuna muuzaji anayepata details zako.
Nununua kupitia site only usideal na mtu kwenye email.
Angalia idadi ya orders na reviews AliExpress utamjua muuzaji mzuri, sijawahi kupata shida, nimeagiza vitu zaidi ya mara 20 now kuanzia camera, laptop hadi soksi!
Usiende alibaba ukiwa logged in Aliexpress au alibaba otherwise wanapata email yako, fungua incognito tab au private tab kabla ya kwenda. Ali Express hawatumi email na muuzaji hapati email yako, mawasiliano ni through AliExpress only.
Laptop 6kg mkuu? Inafaa kupakata kweli? Kg 6 uzito wake ni sawa mtu amekupa furushi castle milk kubwa 12 au safari ndogo 16!
AliExpress wanapokea kadi za kawaid, payment ni through aliexpress wenyewe so iko salama hakuna muuzaji anayepata details zako.
Nununua kupitia site only usideal na mtu kwenye email.
Angalia idadi ya orders na reviews AliExpress utamjua muuzaji mzuri, sijawahi kupata shida, nimeagiza vitu zaidi ya mara 20 now kuanzia camera, laptop hadi soksi!
Usiende alibaba ukiwa logged in Aliexpress au alibaba otherwise wanapata email yako, fungua incognito tab au private tab kabla ya kwenda. Ali Express hawatumi email na muuzaji hapati email yako, mawasiliano ni through AliExpress only.
Nice question.Ok nataka kujua hyo laptop uliyonunua Amazon mpka kufika hapa gharama zake zikoje ukilinganisha na kama ungenunulia hapahapa
Positive question.Hongera mkuu.
Kuna ile nadhalia imesambaa sana kuwa Amazon.com bidhaa zao huwa ni ghali japo zina ubora mdogo kuna ukweli juu ya hili?
Umepita kwenye njia zangu.Ingependeza zaidi ukasema kwa wewe umetumia sh ngapi mpaka mzigo wako kukufikia.
Imekaa vizuri.AliExpress wanapokea kadi za kawaid, payment ni through aliexpress wenyewe so iko salama hakuna muuzaji anayepata details zako.
Nununua kupitia site only usideal na mtu kwenye email.
Angalia idadi ya orders na reviews AliExpress utamjua muuzaji mzuri, sijawahi kupata shida, nimeagiza vitu zaidi ya mara 20 now kuanzia camera, laptop hadi soksi!
Usiende alibaba ukiwa logged in Aliexpress au alibaba otherwise wanapata email yako, fungua incognito tab au private tab kabla ya kwenda. Ali Express hawatumi email na muuzaji hapati email yako, mawasiliano ni through AliExpress only.
Ha ha ha ha... Wabongo bana.Hivi tatizo ni nini, chuki au nini?Mtu kaleta uzi na ameclarify vitu vingi sana.Nafikiri vingine havikuwa na ulazima sana.hawezi kujibu gharama kaingia kiasi gani
computer yenyewe jina tu kaificha utadhani inaenda kutumiwa na kamati ya mazungumzo ya makinikia... Si ajabu kwenye gharama kapigwa.
kwelAliExpress wako vizuri ila hawana vitu vya brandname kama HP, Acer, Sony etc.
AliExpress wako vizuri ila hawana vitu vya brandname kama HP, Acer, Sony etc.
Ili iweje? Chagua laptop unayotaka kutokana na mahitaji yako apply hizo percentage utapata gharama kamili, mengine ni umbea!Mtoa mada maelezo mengi ila points huna
Inahitjika
1.specification zote za laptop ulionunua ulionunua
2.jumla ya gharama ulizotumia mpaka unapata iyo laptop
Ivi ndo vitu watu wanavyo vihitaji kwenye maelezo yako ,then maelezo mengine yafuate.