Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,875
- 2,201
Mbona kajibu juu someni post zoteAkijibu hili nitag
Mbona kajibu juu someni post zoteAkijibu hili nitag
Zinakuhusu nini?TUPE JUMLA YA GHARAMA ZOTE ILIZOTUMIA..KUANZIA KUNUNUA, KUSAFIRISHA, VAT HADI KUGIKA MKONONI MWAKO
Wewe ni kilaza kabisa hujui tunataka kulinganisha bei za huko na huki??!! Eti zinahusu nini..kuna haja gani kuagiza mzigo nje kama gharama ni zile zile kama hapa bongo..Zinakuhusu nini?
Mada si gharama alizotumia, bali alikuwa anashare njia unayoweza kutumia kuagiza items kutoka amazon.