Nimenunua gari kaniacha

Nimenunua gari kaniacha

Mkuu kaa chini piga moyo konde mara4 hapo kilichokuponza kuwa na gari ukajifanya kama unamiliki kiwanda cha magari ukamuweka nyuma mashauzi full ukaongeza marafiki wenye magari akikwambia kitu umsikilizi ukiwa naye utaki kwenda kwa marafiki zako wapya akikuuliza nilikuwa na marafiki yeye ukamfanya mama wanyumbani kila akikwambia hii tabia wewe umsikilizi haya ndo yaukweli ila usidhani mimi ndiye nimempeperusha au kaniambia wewe kumbuka kabla yakuwa na gari na sasahivi unagari kunayofauti gani! Kosa ni wewe na marafiki zako nasiyo gari! kwaheri
 
Tulipendana sana, akiwa UDSM na mimi MU na bado tulitembeleana bila kuchoka. Alibahatika kwenda nje ya nchi (a week school trip), aliniletea suit pamoja na ukubwa wake niliivaa. Mara ya kwanza kuvaa suit kanivalisha yeye.
Tulimaliza shule, nyumbani alifahamika na akazoeleka. Alipata tempo steers mimi nikiwa sina kazi. Daladala tulipanda wote, bajaji tulipanda wote na hata kuswampa tuliswampa wote.
Nilipata kazi nzuri kabla yake ila later on na yeye alipata. Maisha yalibadilika yakawa more improved na penzi pia lilinoga.
A year later nikanunua gari, wiki moja baada ya kununua gari akanitumia msg 'eti tubaki marafiki'.
I didn't take it serious ila muda ulivyozidi kwenda ndivyo alivyomaanisha.
Baada ya kubembeleza sana bila mafanikio hatimae tukaachana kabisa.
Nimechunguza kwa kiasi fulani hana mwanaume mwingine....
Tatizo ni hili gari (corolla)au kuna kingine?

If she left without reason mtolee mbavuni akirudi with an excuse...tafuta mama ingine weka kwenye Corolla speed iendelee!
 
watu tunatofautiana sana mitazamo ya kimaendeleo. mimi mtu akijenga nyumba kwanza ndiyo baada ya kujenga anunue gari naona anamtazamo wa kimaendeleo , lakini mtu anayenunua gari wakati hana nyumba naona hana mtatazamo wa kimaendeleo. sasa yawezekana na yeye amekuona wewe siyo mtu wamaendeleo ndiyo kakuacha

Huo ni mtazamo wetu wa kizamani. Hata mimi nlikuwa nz mawazo hayo.lakini Si kwa sasa ndugu yangu. Sa hivi gari is a necessity sio luxury. Kwanza ukinunua gari itaongezea na spidi ya kujenga coz itakusaidia san kwa safari za site.
 
Unatumia muda mwingi kuwaza gari,si haukuwa nalo! Na pia matumizi mengi yamehamia kwe gari, mafuta, tairi, service Mara faini,mara umegonga si bado hujui kuendesha!
Mahaba yote kwe gari! Kama unampenda hebu kalifiche sehemu umwambie hunalo tena ucheck, pole!
Ukiwa na gari unaweza hata kusahau kumnunulia Mke chupi, si masihara!
 
Kakuacha kwasababu gar umenunua mwenyewe...bajaj mpande wote.kuswampa mswampe wote kwanin gari ununue mwenyewe?
 
watu tunatofautiana sana mitazamo ya kimaendeleo. mimi mtu akijenga nyumba kwanza ndiyo baada ya kujenga anunue gari naona anamtazamo wa kimaendeleo , lakini mtu anayenunua gari wakati hana nyumba naona hana mtatazamo wa kimaendeleo. sasa yawezekana na yeye amekuona wewe siyo mtu wamaendeleo ndiyo kakuacha

HIVI UNAKAA MKOA GANI MKUU?km out of Dar ntakuelewa
Wakazi wa Dar tunajua umuhimu wa private car,nyumba itajengwa tu wth tym,but gari kwanzaaa
 
Hahah..munkari mi hoii...afadhal uyu bidada kaprove wrong hawa wanaume wa jf....wapi Mzabzab???

yani hii sired imenikosha nyoyo yangu haki ya nani! Wacha nikazimue kwanza! Niitieni vijana wote wa humu !! Aisee mapenzi ni noumaaaaa!!
 
HIVI UNAKAA MKOA GANI MKUU?km out of Dar ntakuelewa
Wakazi wa Dar tunajua umuhimu wa private car,nyumba itajengwa tu wth tym,but gari kwanzaaa

na hizi joto kubanana umeshkilia bomba kikwapa nje haki ya nani naenda kununua mgongo wa chura!!
 
Unatumia muda mwingi kuwaza gari,si haukuwa nalo! Na pia matumizi mengi yamehamia kwe gari, mafuta, tairi, service Mara faini,mara umegonga si bado hujui kuendesha!
Mahaba yote kwe gari! Kama unampenda hebu kalifiche sehemu umwambie hunalo tena ucheck, pole!
Ukiwa na gari unaweza hata kusahau kumnunulia Mke chupi, si masihara!

Teh kwel wew njughu
 
Daladala mmepanda wote,bajaj mmepanda wote na kuswampa mmeswampa wote..gari umenunua mwenyewe.huoni hilo ni tatizo??
 
Ukishaanza kuuliza...Kwanini umeachwa basi ujue umeshampoteza. Kwasasa jiulize ni project (demu) gani hujakamua? Kamua mademu wengine wakali na yeye mwenyewe atakutafuta.
 
Ukishaanza kuuliza...Kwanini umeachwa basi ujue umeshampoteza. Kwasasa jiulize ni project (demu) gani hujakamua? Kamua mademu wengine wakali na yeye mwenyewe atakutafuta.
project kwasana tu mwambie huyo
 
Ingawaje hujasema inaonekana umeenda kinyume na mipango yenu mliyowekeana. Aidha mwenzako anataka maendeleo ya kudumu na wewe unafikiria starehe zaidi. Je mlishajenga au kununua hata kiwanja? Je mliafikiana kununua hilo gari?
 
»They say if you luv somethin let it go,if it comes back to you its yours
 
A good matured girl sidhani kama angenikimbia kwa huo uamuzi wa kukimbilia luxurious lazima angeniweka chini tudiscuss na pia kwa dsm gari ni basic need. Ningekuwa -------- kama ningekimbilia gari ya gharama but i went for cheap and budget one ambayo haiwezi niharibia mipango yangu ya baadae kama kununua kiwanja na kujenga.

Inawezekana mlikuwa na mipango mingine ya kufanya n u bought a car instead au unaweza kuta gari si sababu...ana sababu nyingine tu.why don't u ask her what the hell is wrong??
 
Point Tiba.
Sikumshirikisha kabisa but i thought itakuwa surprise nzuri ambayo hata yeye angefurahi. Na kweli nilipomuonyesha alionyesha furaha sana na akashangaa ila ndo hivyo baada ya siku mbili tatu ndo akanitwanga na msg.

me naona shida iko hapa!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom