Nimenunua gari kaniacha

Nimenunua gari kaniacha

Mhhh MU vs UDSM,after mwaka garii,mbona kama nakujua wewee...
Muulize vizuri mtoto,kuna jambo sio bure,and maybe she loved the 'poor you' ,si ajabu unajishau saiv,mana wanaume na hela..tunakomaga mbona

inawezekana kabisa, mi rafiki yangu alianza na mpnz wake akiwa hajui hata kuvaa na kazi hana, Sa hv mwanaume kapata pesa full mashauz,dawa ya meno tu colgate anaona ya kishamba. Hivi kweli mtu kama huyo wa nini???
 
Kutokana na maelezo yako inaonekana mna muda mrefu kidogo kwenye mahusiano yenu, ongea naye ufahamu tatizo lipo wapi hasa huenda ameona umelipa wazo la kununua gari kipa umbele/uzito zaidi kuliko suala la kumuoa.. (wanawake tuna mengi!) ndio, inawezekana huenda alitegemea ungekuwa tayari kupiga hatua nyingine katika mahusiano yenu maana ki-maisha mmepiga hatua, si kwamba mmefika mnapotaka kuwa lkn pia hampo mlipokuwepo kipindi cha nyuma, bado mnasonga mbele.. Nisiusemee moyo, sema naye ujue nini kinamtatiza mamaa...good luck!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom