Speed
Member
- Sep 24, 2008
- 34
- 14
Tulipendana sana, akiwa UDSM na mimi MU na bado tulitembeleana bila kuchoka. Alibahatika kwenda nje ya nchi (a week school trip), aliniletea suit pamoja na ukubwa wake niliivaa. Mara ya kwanza kuvaa suit kanivalisha yeye.
Tulimaliza shule, nyumbani alifahamika na akazoeleka. Alipata tempo steers mimi nikiwa sina kazi. Daladala tulipanda wote, bajaji tulipanda wote na hata kuswampa tuliswampa wote.
Nilipata kazi nzuri kabla yake ila later on na yeye alipata. Maisha yalibadilika yakawa more improved na penzi pia lilinoga.
A year later nikanunua gari, wiki moja baada ya kununua gari akanitumia msg 'eti tubaki marafiki'.
I didn't take it serious ila muda ulivyozidi kwenda ndivyo alivyomaanisha.
Baada ya kubembeleza sana bila mafanikio hatimae tukaachana kabisa.
Nimechunguza kwa kiasi fulani hana mwanaume mwingine....
Tatizo ni hili gari (corolla)au kuna kingine?
Tulimaliza shule, nyumbani alifahamika na akazoeleka. Alipata tempo steers mimi nikiwa sina kazi. Daladala tulipanda wote, bajaji tulipanda wote na hata kuswampa tuliswampa wote.
Nilipata kazi nzuri kabla yake ila later on na yeye alipata. Maisha yalibadilika yakawa more improved na penzi pia lilinoga.
A year later nikanunua gari, wiki moja baada ya kununua gari akanitumia msg 'eti tubaki marafiki'.
I didn't take it serious ila muda ulivyozidi kwenda ndivyo alivyomaanisha.
Baada ya kubembeleza sana bila mafanikio hatimae tukaachana kabisa.
Nimechunguza kwa kiasi fulani hana mwanaume mwingine....
Tatizo ni hili gari (corolla)au kuna kingine?