nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Jamani mimi mwenzenu nimepatwa na maswahibu muda si mrefu, kama mnavyojua hizi nyumba za kupanga lazima bafu la kuogea ni la kuchangia. Sasa nimeamka zangu naenda kuoga bahati mbaya au nzuri sijui niseme hivyo mlango wa bafu ulikuwa haujafungwa sasa mbio mbio nafungua na wakuta mama mwenye nyumba na mme wake wanafanya mapenzi au ngono. Sasa nimenuniwa na wananiwekea kikao wanipe notice nihame ila aliye ghadhabika sana ni mme wake. Hayo ndo yamenikuta hata kazi nafanya kwa tabu