Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,046
Wasalaaam....
Baada ya mihangaiko yangu ya uku na kule nimenasa kwenye mtego ambapo kwa kwel nahtaj mawazo tofaut na yangu nijinasue.....
Najua kuna ambao watasema oooh ulijifanya mjanja u-play boy sasa cjui nn...i beg them to spare those shits kwa kwel.....by the way nataka nizeeke na full experience...
Nimetembea na dada ambae tunepanga nyumba moja...tena vyumba milango inaangaliana (walah niliapa kutokufanya ivo ila nilizidiwa ujanja)
Basi ck iyo aliniita tupige stori kwake...sa 3...mara 4..5..6..wkt nataka kurud kwangu nkapumzike akashaur tulale ote tu haina shida..baada ya apo u take a gues....
Uyu dada sina malengo nae it was jst a crush!!!...kibaya dada wa watu kanielewa ile mbaya..anataka kila ck tulale ote km sio kwake bas kwangu.....
To make it short nataka niachane nae for gud...ingawa najua kwake n ngum na hataman kusikia ivo...na nimefanya ujinga coz nimekua kama nimeji-block coz cwez tena kuja na msichana akijua anaweza kuingia na mlango..tehe....
Vitendo vinaongea zaidi kuliko maneno. Siku asiyotarajia akute umeishahamia sehemu nyingine ambayo haitakuwa rahisi ku trace. Lakini huo utakuwa ukatili wa aina yake. Hujesema kama ni wife material. Kama kwako kafika bei, oa kabisa.
Una options hizo mbili tu.