[emoji15] [emoji15] [emoji15] Miss Chaga tena bila kutaja njurugu....kweli shetani wa hela siku hizi amekukimbiaAchana na hiyo jinga jinga . kwani salamu Yake inakuongezea mshahara?
Achana nae alitumwa adengye hao ndio wachawi wenyewe kaaa nae mbali asije kukuharibiaNimepata Stori kwa marafiki zetu hapa ofisini, jinsi anavyoumia kunipoteza, lakini kwa hapa nilipofikia Siwezi kurudi nyuma, na najitahidi sana kutompa nafasi ya kuwa karibu na mm asije akanibadilisha mawazo.
hakuna mkate mgumu kwenye chaiWanawake wa siku hizi mpaka umpe hela kwanza ndio utapata jibu la ombi lako.
Ajanikimbia bado yupo[emoji15] [emoji15] [emoji15] Miss Chaga tena bila kutaja njurugu....kweli shetani wa hela siku hizi amekukimbia
Wewe naye ni janga la kitaifa. Unapenda sana mteremko weye nshakuona...Kaka kama una namba zake nitumie huku, johnda97@yahoo.com
Kuna Dada tunafanya nae kazi hapa katika kampuni moja ya vinywaji baridi. Kiukweli ni mwanamke niliyekua nampenda sana, lakini kila nikijaribu kumueleza hisia Zangu kwake, na kwamba nina mipango mizuri kwake, Lakini amekua akinizungusha na kuniletea Vikwazo kibao, mwisho nikaamua kuachana na nae nikaendelea na maisha yangu, Hivi karibuni nilipata Msichana tukaanzisha uhusiano, nimeshakwenda kujitambulisha kwao na hivi karibuni namtolea mahari. Sasa hiyu Dada kasikia hizi habari, jana kanipigia simu kuniuliza nikamwambia Yes! Naoa hivi karibuni. Amenuna sana, na ameniblock hata kwenye whatsap. Ofisini hanipi Hi tena. Hivi ni haki kweli katika hilo.[/QUOTE
Alikuwa anremba!? ha ha haaaaa achana nae