Nimemuongezea ulinzi mchumba wangu

hatari...unamwekea mlinzi kabisaaaa??? pole...mwanamke halindwi,,,kama amekupenda anajicommit kwako na ana hofu ya mungu atakupenda tuu..kama hajakupenda nje atachovya kama kawaida??/
 
hahahahahahhahah, hii nimeipenda ingawa na mimi nimedukua ila i need to reshuffle my tactic!
 

MUNGU ASIPO ULINDA MJI, AULINDAE ANAULINDA BURE......Zaburi 127: 1
 
Acha uongo, 80% uliyoyasem hayawezekani kabisa, kama akitaka kuliwa analiwa tuu na hicho ki nokia tochi ambacho hujui hata kama kipo
 

Nipe namba yake unikamate
 
Baada ya ndoa kinacho fuata ni kuaminiana na sio kulindana, huenda ukawa sawa kwa upande mmoja ktk mpango wako huo, lakini nini maamuzi yako ikiwa utagundua kachepuka? Mbinu ya 1 hadi ya 4 itakusaidia kugundua wanao mnyatia lakini hiyo mbinu ya 5 ndio itakayo kufanya ulete mrejesho hapa.
 
Hakuna kitu kigumu kama kumlinda binaadamu. Na jambo hilo linakuwa gumu zaidi kama mtu mwenyewe anayelengwa ni mwanamke.

Mkuu unajipa kazi ya ziada na stress za bure tu. Hiyo shughuli ni futile bro !!!

Lakini mkuu naomba unijibu maswali yangu manne (4) ya kijinga kama ifuatavyo:

1. Unauhakika gani kuwa hizo unazojua ndizo IDs pekee shemeji yangu alizonazo in all social networks?

2. Je kama ana kisimu cha tochi ambacho hukijui na hutakuja kukijua na labda ndo anachotumia kuwasiliana na vidumu vyake?

3. Je una codes zao za siri za mawasiliano wanazotumia ili kuwa-fool ninyi wapenzi wao?

4. Je umefanyaje ili kuzuia mawasiliano yake na wabaya wako yale ya ana kwa ana pale nyumbani huko njiani, sokoni, makazini, maeneo ya ibada etc etc?
 
Kanichekesha huyu anataka aje atulilie humu,naona wanaume sasa hivi wanalia tu humu MMU

Kisa wanamwogopa babu Ngabu😀😀.

Hivi inakuwaje lakini kibabu kama mimi niwakoseshe amani hawa watu? Tena vijana mashababi....au ndo chipsi mayai hizo?

Swagga zangu hazina mpinzani walah!
 
Kisa wanamwogopa babu Ngabu😀😀.

Hivi inakuwaje lakini kibabu kama mimi niwakoseshe amani hawa watu? Tena vijana mashababi....au ndo chipsi mayai hizo?

Swagga zangu hazina mpinzani walah!

We babu Ngabu wewe itakua huli chips yai nadhani,eti swaga zako hazina mpinzani
 
Maajabu ya kilindwacho, humwambia mwizi niibe haraka haraka nikalindwe. Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…