SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
Tatizo jamaa aliyeogwa mtu wa kujiproud sana, msema maneno machafu. Alafu the way nivyoinunua nikikumbuka, inauma.
Nakuona wewe ni mgeni na wanawake!!..yaani wewe ukishatoa (honga)..hesabu mmelipana..na ukiona mali zako anahongwa mwingine hujui huna chako..wewe kuwa mpole tu na kama vipi tafuta shoree mwingine..mambo ya ubabe wa mademu mbona issues za kitambo sana mtuwangu!