Jamani tukubaliane kwanza kama ukimuhonga mwanamke iwe ni kitu chochote kinatakiwa kiwe chake.. Hatakiwi hata kidogo kwenda kukigawa (au worse stl kuhonga kwa mwanaume mwingine).. Maana unachomuhonga ni alama ya mahaba ulionayo kwake.. Ikiwa atakichukua na kwenda kuhonga mbele ya safari.. ni tabia mbaya na uswahili uliopitiliza..
Ushauri wangu kwa JF members wa kiume.. Hakikisha unapata risiti kwa item yeyote ambayo unanunua kwa ajili ya kwenda kuhonga.. Na hakikisha risiti inakuwa na jina lako na ikiwezekana uende na mashahidi wakati wa kununua.. Najua wakati wa tendo la kuhonga utataka uwepo mwenyewe (kwa kuchelea kuchekwa ujinga) lakini bado utakuwa na mashahidi ambao ikitokea mwanamke amehonga na yeye.. watakuwa tayari kuja kutoa ushahidi kwamba kilichohongwa ni cha kwako..
Ila swali kwako Mkuu Msandawe Halisi.. Wewe unatumia cimu ya aina gani..?
Nimemuonga Mpenzi wangu Sumsung Duos Galaxy GT B5512 jumatatu, jana kamuonga jamaa. Nimempeleka Police anirudishie kakataa kata kata sikumpa. Pamoja na yote police walimueka mahabusu baada ya saa limoja jamaa kamtoa. Je nimfanyaje?
kwamza nimecheka sana lakini pia nimesikitika sana ndugu ila naona kama umejichoresha flani.
lakini wajua ni hivi. "you buy her an underwear and someone removes it that is what is called seperation of power".
Nimemuonga Mpenzi wangu Sumsung Duos Galaxy GT B5512 jumatatu, jana kamuonga jamaa. Nimempeleka Police anirudishie kakataa kata kata sikumpa. Pamoja na yote police walimueka mahabusu baada ya saa limoja jamaa kamtoa. Je nimfanyaje?
Nimemuonga Mpenzi wangu Sumsung Duos Galaxy GT B5512 jumatatu, jana kamuonga jamaa. Nimempeleka Police anirudishie kakataa kata kata sikumpa. Pamoja na yote police walimueka mahabusu baada ya saa limoja jamaa kamtoa. Je nimfanyaje?
kwamza nimecheka sana lakini pia nimesikitika sana ndugu ila naona kama umejichoresha flani.
lakini wajua ni hivi. "you buy her an underwear and someone removes it that is what is called seperation of power".
Polisi nao wana kazi! Sijui kesi za kuhongana katika mapenzi wanazishughulikia kwa sheria gani?
Mzigo kama ulipiga unataka nini tena.Ila kama wewe ni mjanja mrudie kwa speed zote halafu kila unachomnunulia andika jina lako siku ya siku unavichukua kwa ulaini asiamini mwenyewe