miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,417
- 10,973
He is a very humbled man. Na yawezekana unampata kwa upande wa kanda hiyo. Anakuambia enzi hizo walikua wakitaka kuoa basi wanafatilia mji qa mwanamke ila siku hizi kibao kimebadilika wanaangalia kwa kijana muoaji maana vijana wamekua wapumbavu sana. Hapendi kuachana ila mambo yakizidi na sisi atatufata kwa gleda ila halijatokea nafurahi anavyowanyoosha vijana wake wa kiume. He is a super daddy. Hapendi ujinga wenu vijana. Kwahiyo usitegemee utanioa uje kuninyanyasa kisa unanihudumia. Sina njaa hizo ndugu yangu. Tuheshimiane tuHahahah mzee wako hapokei mahari kabisa ndio maana una kiburi eeh!? Sema kuoa kwenu kwa sie watoto wa wakulima inakuwa ngumu maana mzee anaonekana atataka mbwembwe za kibepari zile