Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
bora ungekufa maana unatuchosha tu humu ndani
Aliyekuambia hajafa ni nani? Kumbe hata mwandiko wa maiti unashindwa kuutambua?
bora ungekufa maana unatuchosha tu humu ndani
Nisaidie nami, ndiyo wapi huko?
||"Tomorrow will say its a memory and we have enjoyed our lives for a couple of days."||
fanya haraka kabla ziraili hajakuunganisha naye.
Mamu sidhani kama kwa mtu anajiheshimu hizi mambo za humu zinaweza mbadilisha.Afu unatufundishia Tabia chafu wadada wanojiheshimu JF. Kwani ushauri huwezi kupata kwa marafiki wa aina yako ulionao karibu (mapepe wenzio) nao? Kila kitu JF!!! Si kila kitu upost bana. Utakuja kukumbuka shuka , kumekucha!!
maana siku hizi misamiati mingi
Hehehehehehe
bora ungekufa maana unatuchosha tu humu ndani
We ni mzuri lakini ? sio tunatoa ushauri wakati demu mwenyewe una macho kama vidonda.Habari z jumapili wakuu
Sasa ni hivi,baada ya kutoka club jana usiku na mpenz wangu leo nimeamua niachane nae rasmi!moyo wangu ndiyo umeamua hivyo sijashawishiwa na mtu yyte!
Tatizo linakuja ntakuwa na na nani,vijana walioniuproch hawana hela kivile so siwez kuwa nao,kuna wababa kama wa3 watu wazito wanantaka nafikiria niwe na mmoja japo simpend hata kidogo,nijiweke tu kwa mda,cz siwez kuwa alon au nifanyaje wapendwa coz siwez mpotezea mkaka wa watu muda nimeamua nimuwache atafute mtu wa dini yake awowe!
Nipeni ushauri
Usinitukane coz ndo lyf yangu
Bado hujanambia inamaanisha nini "Kusini"
||"Tomorrow will say its a memory and we have enjoyed our lives for a couple of days."||
Ma dady akikusikia gun itakuhusu,,
Kama umemuacha kweli nipm namba zake basi nikamate fursa.
We ni mzuri lakini ? sio tunatoa ushauri wakati demu mwenyewe una macho kama vidonda.
Muwee wawiliii sio na evelyn
HIVI KWA NINI USINGEFANYA ULE UAMUZI JAMANI kufa tu bwana
Ma dady akikusikia gun itakuhusu,,