Another day, another drama.
sasa waomba ushauri wa nini wakati ushafanya maamuzi yako na zaidi umesema ndo lyf yako....we kama waona kugawa papuchi ni deal haina tabu mbona....free will at work
Another day, another drama.
Drama Queen
HIVI KWA NINI USINGEFANYA ULE UAMUZI JAMANI kufa tu bwana
Nadhani hujajua kama umemquote marehemu.
Hehehe eti hawana hela. Kwanini usitafute za kwako. Huna elimu au ujuzi wowote wa kukuingizia kipato?
||"Tomorrow will say its a memory and we have enjoyed our lives for a couple of days."||
mwadila !!!
Ndio uchangamkie na wewe kununua shemeji. Unalaza damu sana banaa
Ujinga huu utaisha lini hapa JF?? Unataka na sisi tubariki ujinga wako???
Hehehe eti hawana hela. Kwanini usitafute za kwako. Huna elimu au ujuzi wowote wa kukuingizia kipato?
Nina kazi yangu om hakuna shida tatz ma dady hapend niwe na mwanaume asiye na pesa siyo kama nahitaji pesa zao laah ila mwanaume awe na pesa
HIVI KWA NINI USINGEFANYA ULE UAMUZI JAMANI kufa tu bwana
Mie huwa sitoi jasho kwenye hii sekta....kati ya zinazokuja upande huu nachagua ile iliyonona ili nafsi iridhike pia...
Halafu mambo ya kuniita shemeji yataniharibia michongo yangu hapa...msalimia lara 1
Weka picha ya sura yako tukuthaminishe kwanza