Hehehe eti hawana hela. Kwanini usitafute za kwako. Huna elimu au ujuzi wowote wa kukuingizia kipato?
Nina kazi yangu om hakuna shida tatz ma dady hapend niwe na mwanaume asiye na pesa siyo kama nahitaji pesa zao laah ila mwanaume awe na pesa
Kama kwenu mko na mijihela naimani hata class ya rafiki zako na family friends wanazo. Mwambie mzee wako akutafutie kijana mwenye hela miongoni mwa rafiki zake. That will be like a pearl huh!!?
||"Tomorrow will say its a memory and we have enjoyed our lives for a couple of days."||
Weka picha ya sura yako tukuthaminishe kwanza
Semegiiiii unapenda mikia ya kondoo eeh?
hivi yule mwanao wa tano keahamaliza shule sasa? (samahani, hilo jina lako gumu, hata uzaramoni watu wanaitwa mjomba au babu)
unaanzisha balaa
Weka picha ya sura yako tukuthaminishe kwanza
HIVI KWA NINI USINGEFANYA ULE UAMUZI JAMANI kufa tu bwana
Mimi nataka kusini kwako pesa ipo ni pm tu.
una mambo wewe sikuwahi kujua kusini ndo wapi
huhuhuhuh hata m naunga mkono..muonekano kwanza
name calling ni kosa linalostahili ban.wewe utakuwa Zahra White.muongomuongo sana.kwa sifa ulizonazo,unapitwa tu.jipe moyo na ndoto tu
usije ukatupotezea muda wakati haulipi mtu mwenyewe weka picha kwanza
uwiii ghost???????na log out
Bora apumzike kwa amanii utakutaa katoswaaa anajofarijii et katosaaa